Madini aina gani haya wataalaam nisaidieni

Joined
Feb 11, 2013
Posts
68
Reaction score
12
ukiyaona yamechongoka katika pembe mbalimbali ni kama vipande tofautiii HALAFU vimeungana kwa pamoja nahitaji kujua ni AINA gani ya madini na thamani yake katika soko la dunia
 
Quatz hii
Yanauzwa kwa Ton bro
Soko lake bongo kias flan ni gumu
Yanachimbwa brazil
 
Yanauzwa kwa Ton bro Soko lake bongo kias flan ni gumu Yanachimbwa zaidi brazil
 
ukiyaona yamechongoka katika pembe mbalimbali ni kama vipande tofautiii HALAFU vimeungana kwa pamoja nahitaji kujua ni AINA gani ya madini na thamani yake katika soko la dunia


Hizo ni takataka hamna mtu ananunua.....Hii kama unachimba madini ya vito ndo inajichora kwenye mwamba inakupa mwelekeo wa njia.
 
Takataka hizo weka siraha wakija wezi unawapiga nayo
 
Muundo wa hiyo ya chini umenifanya nicheke aiseeee [emoji12] [emoji12]
Ukizingatia mida ya upendo hii[emoji39] [emoji39]
 
Thamani yake je ipoje
Kilo moja ni zaidi ya tsh 10000/!thamani yake ya crystal quartz itazidi ongeza kutokana na u clear wa Jiwe na ziwepo michongo ya juu....nncha
Tanzania zinapatikana kwa wingi tu
 
Kilo moja ni zaidi ya tsh 10000/!thamani yake ya crystal quartz itazidi ongeza kutokana na u clear wa Jiwe na ziwepo michongo ya juu....nncha
Tanzania zinapatikana kwa wingi tu
Ahsanteeee mkuuu kwa ufafanuzi nmekuelewa
 
Hizo ni takataka hamna mtu ananunua.....Hii kama unachimba madini ya vito ndo inajichora kwenye mwamba inakupa mwelekeo wa njia.
Madini ya Vito ni kama yepi mkuuu na huwa yanakwenda sambamba na madini gani kwenye mkondo wake.?
 
Madini ya Vito ni kama yepi mkuuu na huwa yanakwenda sambamba na madini gani kwenye mkondo wake.?
Ni Kama ruby,tanzanite,emerold,sapphire,tormaline,spinnel,etc Yako mengi madini ambayo hukatwa na kuwekwa kwenye vidani au pete...
Na madini nayo asili yake huwa yanatakiwa kuwa ktk ubora wa juu(gem quality)yaani chupa chupa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…