Madini, Almasi Tanzania....

Ombeni w lema

Member
Joined
Nov 16, 2010
Posts
22
Reaction score
1
Hivi?inakuwaje Tanzania tuwe na reslmali kama madini na almasi.na bado nchi iwe maskini?mbuga,milima,bandari,nk.hivi vyote hela zake zinafanyia kazi gani hasa.
 
hela zake wanakula wajanja wachache wanaosomesha watoto wao je ya nchi na wao kupata matibabu na huduma nyingine nje ya nchi huku watanzania wakiendelea kula mlo mmoja na watoto wao wakisomea chini kwenye vyumbi huku kukiwa na uhaba wa vitabu na walimu pia inasikitisha sana
 
Wanakula watanzania wanao fanya kazi kwenye migodo hiyo na sehemu zingine...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…