Full 8
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 313
- 271
Nchini kwetu Tanzania tumekua na bahati ya kuwa na madini mbalimbali kama dhahabu, almasi na Tanzanite.
Madini mengine ambayo hayapewi kipaumbele ni madini ujenzi ambayo hutumika sana katika viwanda vya saruji, malu malu na viwanda vya kemikali na madini kama ulanga mweusi ambao nimesikia kampuni ya sumsung hutumia katika kutengeneza screen za smartphone zao.
Kitaaluma mimi ni mjioloji(Mtaalam wa miamba).
nimekua na wazo la kutumia fursa ya madini ujenzi kwa malengo ya;
1. Kuongeza kipato changu binafsi
2. Kutoa ajira kwa vijana wengi wanaomaliza katika vyuo vyetu ambao wanakumbana na tatizo la ajira, hasa katika industry ya mining.
3. Kutimiza dhana ya " HAPA KAZI TU" kutumia effectively muda wangu wa ziada kwa manufaa ya baadae.
- Hadi sasa niko katika hatua ya kuchukua leseni za maeneo yenye madini ujenzi hasa granites na carbonate hard rocks ambazo hutumika sana katika kuzalisha kokoto/aggregate na tiles.
Mahitaji.
1. Ningependa kupata ushauri kwa watu ambao wameshajihusisha na industry hii.
2. Partinaship na links kwa watu au kampuni zinazofanya kazi katika sekta hii ili niweze fanya nao kazi. kwani suala la machinery(crushers, trucks ) ni changamoto kutokana na kuwa na gharama kubwa kuvipata.
Nawasilisha.
Madini mengine ambayo hayapewi kipaumbele ni madini ujenzi ambayo hutumika sana katika viwanda vya saruji, malu malu na viwanda vya kemikali na madini kama ulanga mweusi ambao nimesikia kampuni ya sumsung hutumia katika kutengeneza screen za smartphone zao.
Kitaaluma mimi ni mjioloji(Mtaalam wa miamba).
nimekua na wazo la kutumia fursa ya madini ujenzi kwa malengo ya;
1. Kuongeza kipato changu binafsi
2. Kutoa ajira kwa vijana wengi wanaomaliza katika vyuo vyetu ambao wanakumbana na tatizo la ajira, hasa katika industry ya mining.
3. Kutimiza dhana ya " HAPA KAZI TU" kutumia effectively muda wangu wa ziada kwa manufaa ya baadae.
- Hadi sasa niko katika hatua ya kuchukua leseni za maeneo yenye madini ujenzi hasa granites na carbonate hard rocks ambazo hutumika sana katika kuzalisha kokoto/aggregate na tiles.
Mahitaji.
1. Ningependa kupata ushauri kwa watu ambao wameshajihusisha na industry hii.
2. Partinaship na links kwa watu au kampuni zinazofanya kazi katika sekta hii ili niweze fanya nao kazi. kwani suala la machinery(crushers, trucks ) ni changamoto kutokana na kuwa na gharama kubwa kuvipata.
Nawasilisha.