hmaloh
Senior Member
- Nov 22, 2018
- 162
- 314
Hi, guys habari za weekend I hope mpo good kwa wale wenye changamoto zozote zile poleni sana ndugu zangu coz siku hazifanani.
Bila yakupoteza muda ndugu zangu Mimi ni kijana fukara ambae mara nyingi napenda kukumbilia fursa zilipo so kuna jambo fulani ningependa kushare nanyi ndugu zangu kwa maana tuliomo humu wengi wetu tutaishi below one dollar.
Ipo hivi ndugu zangu kama kuna yoyote mwenye kuyajua madini ya moon stones basi hapa home kwetu (Morogoro, Kilosa) huwa yanapatikana haya mawe tena ni yale yenyewe kabisa isipokuwa tu hawa wachimbaji wetu wahuku wamekuwa wakitumia local methods hivyo imekuwa ngumu kupata 100% gem so kama utakuwa interested na huu mchongo tuchekiane ili tule kwa pamoja cake ya taifa.
Ahsante.
Bila yakupoteza muda ndugu zangu Mimi ni kijana fukara ambae mara nyingi napenda kukumbilia fursa zilipo so kuna jambo fulani ningependa kushare nanyi ndugu zangu kwa maana tuliomo humu wengi wetu tutaishi below one dollar.
Ipo hivi ndugu zangu kama kuna yoyote mwenye kuyajua madini ya moon stones basi hapa home kwetu (Morogoro, Kilosa) huwa yanapatikana haya mawe tena ni yale yenyewe kabisa isipokuwa tu hawa wachimbaji wetu wahuku wamekuwa wakitumia local methods hivyo imekuwa ngumu kupata 100% gem so kama utakuwa interested na huu mchongo tuchekiane ili tule kwa pamoja cake ya taifa.
Ahsante.