Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Baraza la Halmashauri ya Wilaya ya Geita limesema kwa asilimia 95 limetekeleza ilani ya Chama cha Mapinduzi katika kukamilisha miradi mbalimbali ambayo inaendelea kujengwa na iliyokamilika katika Halmashsuri hiyo .
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Hayo yameelezwa na Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Bi. Khadija Said wakati wa uwasilishaji taarifa ya utekelezaji shughuli za maendeleo ngazi ya kata kwa kipindi cha Oktoba na Desemba 2024 huku akikiri kuwepo kwa miradi ya CSR kutokukamilika kwa wakati na kusema miradi hiyo tayari imeanza kutekelezwa.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Hayo yameelezwa na Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Bi. Khadija Said wakati wa uwasilishaji taarifa ya utekelezaji shughuli za maendeleo ngazi ya kata kwa kipindi cha Oktoba na Desemba 2024 huku akikiri kuwepo kwa miradi ya CSR kutokukamilika kwa wakati na kusema miradi hiyo tayari imeanza kutekelezwa.