josephwaara
JF-Expert Member
- Jun 18, 2016
- 304
- 639
Wakuu katika pitapita zangu nimekutana na tetesi kwamba madiwani wataanza kulipwa mshahara wa tsh milioni moja kwa mwezi.
Kitaalamu hii inaitwaje?
Kitaalamu hii inaitwaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mkuu ndo itoke laki 3 sijui 4 hadi milioni kweli... hii nchi tunatesana makodi bure tu.Wabunge wanalipwa 12m kwa lipi?
Sasa unashangaa nini Mkuu? Hujasikia kama kila baada ya miaaka mitani wabunge wanagawana mamilioni? Wengine husema wanagawana zaidi ya milioni miambili kila mbunge. Sasa diwani kuambulia kamoja inakukera! Wabunge hawakukeri?Wakuu katika pitapita zangu nimekutana na tetesi kwamba madiwani wataanza kulipwa mshahara wa tsh milioni moja kwa mwezi.
Kitaalamu hii inaitwaje???
Inaitwa mshahara.Walikuwa wanaonewa yani mbunge m10 halafu diwani hamna!!.Wakuu katika pitapita zangu nimekutana na tetesi kwamba madiwani wataanza kulipwa mshahara wa tsh milioni moja kwa mwezi.
Kitaalamu hii inaitwaje???
Hata hiyo la3au4walikuwa wanapata kulingana na mapato ya halmashauri wengine walikuwa wanapata lak2.Sasa wameingizwa serikali kuu kwa tetesi.Sasa mkuu ndo itoke laki 3 sijui 4 hadi milioni kweli... hii nchi tunatesana makodi bure tu.
kitaalam hii inaitwa kulamba asaliWakuu katika pitapita zangu nimekutana na tetesi kwamba madiwani wataanza kulipwa mshahara wa tsh milioni moja kwa mwezi.
Kitaalamu hii inaitwaje???
Wizi, bora wawalipe wenyeviti wa serikali za mitaaWakuu katika pitapita zangu nimekutana na tetesi kwamba madiwani wataanza kulipwa mshahara wa tsh milioni moja kwa mwezi.
Kitaalamu hii inaitwaje???
DIWANI ana degree ya nini mpaka Alipwe 1,000,000/=?Wakuu katika pitapita zangu nimekutana na tetesi kwamba madiwani wataanza kulipwa mshahara wa tsh milioni moja kwa mwezi.
Kitaalamu hii inaitwaje?
Pesa ya tozo ipo na kodi ya kichwa inakuja mkuu , shida yako nini, wacha watu walambe asali hizi ndio zama zao, RIP mwamba Jiwe tutazidi kukumbuka.Wakuu katika pitapita zangu nimekutana na tetesi kwamba madiwani wataanza kulipwa mshahara wa tsh milioni moja kwa mwezi.
Kitaalamu hii inaitwaje?
Wabunge wapo wachache, madiwani wapo wengi zaidi ya 4000+.Sasa unashangaa nini Mkuu? Hujasikia kama kila baada ya miaaka mitani wabunge wanagawana mamilioni? Wengine husema wanagawana zaidi ya milioni miambili kila mbunge. Sasa diwani kuambulia kamoja inakukera! Wabunge hawakukeri?