Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Acha utaniWanastahili maana hamna maendeleo bila madiwani kaka
Kwa kwenda kusinzia na kupiga meza mjengoniWabunge wanalipwa 12m kwa lipi?
DIWANI ana degree ya nini mpaka Alipwe 1,000,000/=?
Wakuu katika pitapita zangu nimekutana na tetesi kwamba madiwani wataanza kulipwa mshahara wa tsh milioni moja kwa mwezi.
Kitaalamu hii inaitwaje?