meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,425
- 4,768
Ningependa kujua msimamo wa chadema juu ya wajumbe wa mabaraza ya katiba nchini.
Nimesikia kuwa mabaraza haya ya katiba wilayani yataundwa na madiwani wa majimbo husika + wajumbe wengine wa kuchaguliwa wapatao 8.
Tatizo langu linahusu hapo kwenye madiwani kuingizwa kama wajumbe wa mabaraza haya kwani kama tunavyojua ccm ina madiwani wengi kuliko vyama vingine.je hili halitaathiri maamuzi ya mabaraza haya kiasi cha kuifanya katiba iwe yenye maslahi ya ki-ccm?
Nawasilisha...
Nimesikia kuwa mabaraza haya ya katiba wilayani yataundwa na madiwani wa majimbo husika + wajumbe wengine wa kuchaguliwa wapatao 8.
Tatizo langu linahusu hapo kwenye madiwani kuingizwa kama wajumbe wa mabaraza haya kwani kama tunavyojua ccm ina madiwani wengi kuliko vyama vingine.je hili halitaathiri maamuzi ya mabaraza haya kiasi cha kuifanya katiba iwe yenye maslahi ya ki-ccm?
Nawasilisha...