huu utaratibu co sawa kabisa. yote hii inataka kufanywa,mosi, kukwepa gharama na wakati huohuo kuyabeba maccm. haikubaliki kabisa. uwekwe utaratibu wa kuchagua watu wengine tofauti na madiwani. tume ya warioba imepewa kasma ya kutosha kuhakikisha katiba inapatikana. wakileta katiba mbovu wallahi watalaaniwa na mwenyezi mungu mwingi wa rehema.