Nachojua Mimi madiwani wa mbeya ndio wamiliki wakubwa wa bajaji hapo mjini ,.nawafahamu na bajaji mnazomiliki nazifahamu mnataka kuwadhibiti raia wa kawaida wasimiliki bajaji ili biashara yenu isiwe na ushindani ?? Biashara ni huria huwezi kuzuia watu wasiingize bajaji barabarani kwa sababu zimekuwa nyingi huo ni ujuha? Uliwahi kusikia wapi ? Kwa hiyo mnaua soko la bajaji mbeya ? Hizo bajaji hazilipiwi Kodi? Waacheni maskini wajitafutie kipato Chao
Wanazingua,waache watu wabangaize,wasilete habari za kuzuia uongezekaji wa bajaji.Hawajui kua hiyo ni ajira?
Kwa mwendo huku si ajabu siku moja kusikia dala dala, taxi, boda boda au hata mabasi siku fulani kuwa yatakuwa yametosha.
Ama kwa hakika walioko madarakani wamechoka na hawana jipya.
Umechelewa au huelewi Mimi kama mdau wa biashara ya daladala.
Latra wanakwambia kabisa njia hiyo imejaa hawasajili daladala mpya . mbona hilo lipo umekurupuka kukoment
Waache wajinyonge kwa kutumua kama Yao wenyeweHayo ndiyo tusiyoyataka mjomba. Kwani Latra ni Mungu?
Hii ndiyo Tanzania Sasa. Eti mdau wa biashara ya dala dala 🤣🤣.
"Hili la kujaa halikubaliki kwenye dunia huru iliyostaarabika. Kwamba kwa kuhisi ushindani a certain Mafia goombah takes monopoly?"
Yana mwisho.
Habari ndiyo hiyo.
Waache wajinyonge kwa kutumua kama Yao wenyewe
Hii ingekuwa (fair) muafaka zaidiTena ikiwezekana wafanye ziishe kabisa.
Sasa mkuu unamnyang'anya bajaji Ili akakose??Zinezidi kwa kwrli na mbeya mzunguko was pes Ni mdgo San hvyo Ni babjaj ndio sinaonekana nafuu ili kupatukane chochote
Bajaji zinefanya vijana kuaribu vyombo vya watu kwa maana watu wengi wenamiliki ukimnyanganya kijana Bajaj kesho unamuona na chombo kipy
Mm nilikuwa nazo mbili kipidi hcho niliandikisha ilikuwa namba 4560 mwaka 2019
Kila siku nillikuwa narecod loss
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Ni jambo la ajabu kuondoa Hiace barabarani na kujaza Bajaji. Mji ulikuwa mzuri kwa kuwa na Costa safi. Mtu unasafiri raha mstarehe. Sasa wamejazq mabajaji. Mwisho costa ziondoke usafiri tuwe kama miji ya India.Vijana wengi wa mbeya ni wataftji. Na wengi wamejiajiri kupitia bajaji hizoo.
Hata wanachuo wengi wanaomaliza MUST huanza kusukuma bajaji za mikataba ya Benki au wauzaji binafsi Ili kujipatia rizkii.
Utakuja kugundua viongozi ndo wapiga debe wa Vijana kujiajiri ila Vijana wakijiajir tena inakua kero kwao.
Nashkur Kwa sasa vjana wengi hawana shobo na ajira wengi husoma Kwa manufaa Yao na kama vjana wataendelea na utaftaji huu wa mtaani wallah watafika mbali.
Hawa madiwani wajinga sana......hivi hii ni akili gani hii Yarabi!...Nachojua Mimi madiwani wa Mbeya ndio wamiliki wakubwa wa bajaji hapo mjini ,.nawafahamu na bajaji mnazomiliki nazifahamu mnataka kuwadhibiti raia wa kawaida wasimiliki bajaji ili biashara yenu isiwe na ushindani??
Biashara ni huria huwezi kuzuia watu wasiingize bajaji barabarani kwa sababu zimekuwa nyingi huo ni ujuha? Uliwahi kusikia wapi? Kwa hiyo mnaua soko la bajaji Mbeya? Hizo bajaji hazilipiwi Kodi? Waacheni maskini wajitafutie kipato Chao.