Madiwani nao wanunuliwe Toyota Land cruiser LC300

Kama ilivyo Kwa Mawaziri, Makatibu wakuu, Majenerali wastaafu, mwenezi na Wakuu wa Mikoa. Madiwani nao wanastahili vyombo vya usafiri vyenye hadhi.
Mkuu ongeza na Wenyeviti wa Serikali za Mitaa nao wapewe
 
Cc-Diwani, Kimbangulile.
 
Watafanya ya kufanyia umbea na ufuska!
Madiwani wengi ni mafuska sana sana!
 
Kama ilivyo Kwa Mawaziri, Makatibu wakuu, Majenerali wastaafu, mwenezi na Wakuu wa Mikoa. Madiwani nao wanastahili vyombo vya usafiri vyenye hadhi.

NB: hizi gari zitarahisisha kumtembelea miradi ya maendeleo Kama ilivyoainishwa kwenye ilani
ITAPENDEZA SANA TENA SANA NCHI HII INA UKWASI WA KUTISHA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…