Tetesi: Madiwani wa Meru DC na Arusha wapania kufukuza watumshi wote

Tetesi: Madiwani wa Meru DC na Arusha wapania kufukuza watumshi wote

Rofa

Member
Joined
Sep 19, 2015
Posts
79
Reaction score
126
Kilichoko Meru Dc na Arusha Dc kinatisha.Madiwani wanakaa na kuazimia kuondoa mtumishi yoyote ambaye hakubaliani na matakwa yao,wanafanya vituko vya kufedheesha jamii.watendaji wa kata hawatakiwi na madiwani ,wakuu wa Idara hawatakiwi na madiwani ,yaani ni shiida.Mkuu wa wilaya Arumeru ameitisha kikao leo na kueleza matatizo ya madiwani hao.
Habari zaidi kwenye vyombo vya habari kesho.
Jamani mjoo Meru na Arusha muone vituko vya madiwani
 
Waache kuingiza CIVIVICS kwenye mambo ya kitaalamu. Kuongozwa na MTU mwenye vidato vichache pia huwa ni tatizo
 
Mbona mleta mada unaleta uchochezi tukikuambia tuthibitishie unaweza kuthibitisha?
 
Unakuja tumbo wazi huku habari yako haijakamilika mana unatuhumu tu..
 
Mchwa wa halmashauri wamekutuma sio? Halmashauri zote zingefanya kama Meru na Arusha Tz ingekuwa Ulaya kipindi kifupi tu, blah blah
 
Back
Top Bottom