Tetesi: Madiwani waliojiuzulu CHADEMA kupewa utendaji kijiji

Tetesi: Madiwani waliojiuzulu CHADEMA kupewa utendaji kijiji

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Kama tunavyofahamu madiwani kadhaa waolikuwa wanachama wa Chadema walijivua nyazifa zao za udiwani ili kumuunga mkono Magufuli.

Nyeti zimedokeza kuwa madiwani hao pamoja na makubaliano mengine wameahidiwa utendaji katika vijaji na kuhakikishiwa kupewa nyeo hivyo mwanzoni mwa mwaka huu wa fedha.

Diwani mmoja wa Arumeru amewashangaa madiwani wenzake kuachia ngazi kwa sababu zisizo na mashiko. "Wanajiuzulu kwa ahadi ya utendaji wa kijiji ambacho bosi wako atakuwa wa Chadema,ambayo ni wazima itashinda,huo ni ulofa" amesema diwani huyo.

Hata hivyo madiwani hao wamekuwa wakiwasumbua wakurugenzi wa wilaya kuhakikisha kuwa uteuzi wao katika utendaji wa kata unakuwa wa moja kwa moja badala ya ushindanishi kama unavyokuwa siku zote
 
jamani jamani wengine tunasubiria kutokea kwenye utendaji alafu wao wanaleta jam na walikuwa na kazi zao wakaziacha kwa upuuzi wao

kama vp washindanishwe sio kuwapa moja kwa moja na sifa yao ya kujua kusoma na kuandika
 
Utendaji kata ......utendaji wa kijiji uandishi ama utunzi upo ovyo
 
Endeleeni na unabii, ila ndani ya chadema kuna tatizo kubwa sana.... Time will tell
 
Kwa ufaham wangu utendaji wa kata unatakiwa usome angalau diploma ktk vyuo vinavyofahamika na serikali kikiwemo Ombolo na Mipango Dodoma... Sasa sijui kama utaratibu umebadilika siku hizi... Kwani myendajibsi mwanasiasa ha hapaswi kushabikia chama chochote

Sent from my LG-K350 using JamiiForums mobile app
 
Kwa ufaham wangu utendaji wa kata unatakiwa usome angalau diploma ktk vyuo vinavyofahamika na serikali kikiwemo Ombolo na Mipango Dodoma... Sasa sijui kama utaratibu umebadilika siku hizi... Kwani myendajibsi mwanasiasa ha hapaswi kushabikia chama chochote

Sent from my LG-K350 using JamiiForums mobile app
...Uko sahihi kabisa, bila Diploma hawapati labda wa force, nimekuta WEO ambao ni graduate kwenye kata za mijini...

Sent from my CHC-U01 using JamiiForums mobile app
 
utendaji hauteuliwi. wasubiri sekretarieti ya ajira itangaze hizo nafasi na kama wana vyeti vya stnd seven wasahau wameshaingizwa mjini.

na wakikutana na graduate waliopo mtaani wataenda kulima bila shaka
 
...Uko sahihi kabisa, bila Diploma hawapati labda wa force, nimekuta WEO ambao ni graduate kwenye kata za mijini...

Sent from my CHC-U01 using JamiiForums mobile app
sio mijini tu kwetu kijijin kuna gratuate kahamia hata aliyetoka nwanzo nae ni graduate
 
Mnatapa tapa mpaka mnaogopesha....mlikuwa mnamtuhumu Nassari kanunuliwa, hilo limeishia wapi?
 
Back
Top Bottom