Tetesi: Madiwani waliojiuzulu CHADEMA kupewa utendaji kijiji

Wakipewa nafasi za utendaji itabidi wafuatao wakamatwe na TAKUKURU
1;Hao watendaji wote
2;Huyo mwajiri wao maana hiyo ni rushwa maana hata wahenga wanajua madhara ya rushwa
 
acha habari za uzushi
 
Umeshaambiwa kuwa wameahidiwa. Inaweza ikawa ahadi kama ya wale wa shinyanga kipindi cha Nape waliahidiwa pesa na nafasi za uongozi lakini mwishoni walipotezewa na kuamua kurudi kwenye chama wakilia. Inaweza kuwa ahadi hewa
 
....Mkuu hapo ni keusi kekundu, hata ile pesa ya kuhongwa kama wamekubali wakapokea nusu wameliwa hiyoo...
Kama walivyomfanyia Slaa, walimuwekea bilioni moja baada ya siku akakuta milioni mia mbili tu, nane wameshazichukua tiss
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…