Madoa meusi kwenye meno yanasababishwa na nini?

Madoa meusi kwenye meno yanasababishwa na nini?

Tumwesige senior

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2013
Posts
3,506
Reaction score
6,305
Wakuu hivi madoa (yanakuwa na rangi nyeusi) kwenye meno yanasababishwa na nini na ipi tiba(dawa yake) sahihi

Maana ukisugua na mswaki hayatoki
 
Wakuu hivi madoa (yanakuwa na rangi nyeusi) kwenye meno yanasababishwa na nini na ipi tiba(dawa yake) sahihi

Maana ukisugua na mswaki hayatoki
Sababu hua n nyingi.

moja ya sababu ni husababishwa na particle za vyakula au ( sigara/ ugoro) zinazo gandamana kwenye Ernamel ( rangi nyeume kwenye meno yenye ung'aavu) ambapo u tengeneza plaque (mgandamano mithili ya Cement) inapokaa kwa muda kwani ni mara chache mtu kupiga mswaki baada ya mulo/ chakula
Madoa yakisha jitokeza ni vigumu kuundoa kwa kupiga mswaki.

TIBA HUA: KUondoa madoa ayo kwa kukwanguliwa na mashine/ vifaa vya kinywa vinavyotumika kusafishia kinywa. Baada ya kusafisha hua ni kuhakikisha mtu anapiga mswaki mara 3 kwa siku au kila baada ya chakula kuzuuia particle zinazobaki kwenye meno kutengeneza madoa
 
Sababu hua n nyingi.

moja ya sababu ni husababishwa na particle za vyakula au ( sigara/ ugoro) zinazo gandamana kwenye Ernamel ( rangi nyeume kwenye meno yenye ung'aavu) ambapo u tengeneza plaque (mgandamano mithili ya Cement) inapokaa kwa muda kwani ni mara chache mtu kupiga mswaki baada ya mulo/ chakula
Madoa yakisha jitokeza ni vigumu kuundoa kwa kupiga mswaki.

TIBA HUA: KUondoa madoa ayo kwa kukwanguliwa na mashine/ vifaa vya kinywa vinavyotumika kusafishia kinywa. Baada ya kusafisha hua ni kuhakikisha mtu anapiga mswaki mara 3 kwa siku au kila baada ya chakula kuzuuia particle zinazobaki kwenye meno kutengeneza madoa
Asante mkuu B M F
 
Back
Top Bottom