Madokta mnacheza na maisha yetu?

Madokta mnacheza na maisha yetu?

Secret Star

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2011
Posts
1,734
Reaction score
1,709
Wakuu najiuliza swali hapa, hivi miandiko ya Madoctor hadi leo imeshasababisha vifo vya watu wangapi kutokana na uzembe wa kutokuandika vizuri, Kila doctor mwandiko wake anaweza kuusoma yeye mwenyewe! Muda mwingine hata yeye mwenyewe anasahau ni kitu gani amekiandika! Kwa uzembe huu wa kurush vitu muhimu kama hivyo najiuliza ni watu wangapi wamekufa kutokana na miandiko ya hovyo!. Huwa tunasikia mtu kafanyiwa operation ya ubongo badala ya mguu, Sababu nyuma ya pazia ni hii miandiko ya ajabu! si kingine suala hili mamlaka zilikemee la sivyo ni kirusi kinachoua maelfu ya watu kimyakimya.
 
😳
Screenshot_20250305-180820~2.jpg
 
Wakuu najiuliza swali hapa, hivi miandiko ya Madoctor hadi leo imeshasababisha vifo vya watu wangapi kutokana na uzembe wa kutokuandika kwa vizuri, Kila doctor mwandiko wake anaweza kuusoma yeye mwenyewe! Muda mwingine hata yeye mwenyewe anasahau ni kitu gani amekiandika! Kwa uzembe huu wa kurush kwenye vitu muhimu kama hivyo najiuliza ni watu wangapi wamekufa kutokana na miandiko ya hovyo!. Huwa tunasikia mtu kafanyiwa operation ya ubongo badala ya mguu kutokana na miandiko si kingine suala hili mamlaka zilikemee la sivyo ni kirusi kinachoua maelfu ya watu kimyakimya.
Kama hujui kusoma ni wewe,
 
Kama bado unahudhuria hizi hospitali zetu ambazo tunawakomoaga wafamasia kwa mwandiko itoshe kusema bado haujajipata ,tafuta hela sana ndugu kuna hospitali hapa Tanzania daktari haandiki chochote kwenye kidaftari cha mia mbili ila ni kwenye kompyuta na dawa utashangaa unapewa dirisha la dawa
Unaweza kudhani ni uchawi kumbe teke na jojia vimefika mbali kaka
 
Hama hospitali. Bochi doctor haandiki labda akuandikie namba ya simu. Dawa zako utakutana nazo maabara.
Bochi.
Kessy amefeli sana kwenye suala la Wahudumu.... Imegeuka hospitali ya hovyo kuliko za Serikali... Rushwa, Kujuana, Recklessness, Ujuaji na Majibu mabovu ya Wahudumu imegeuka Huduma Yao kuu...

Imagine Daktari anakuandikia Dawa uende Pharmacy, unamuomba akupe Prescription ukajinunulie Pharmacy za nje anakujibu hatuna huduma hiyo, kama huna Pesa, wapigie ndugu wakukopeshe ukanunue Dawa kwenye Pharmacy yetu..

Umefanyiwa X Ray unaomba Hard Copy wanakuambia lipia 25k ili tukuprintie...
 
Wakuu najiuliza swali hapa, hivi miandiko ya Madoctor hadi leo imeshasababisha vifo vya watu wangapi kutokana na uzembe wa kutokuandika vizuri, Kila doctor mwandiko wake anaweza kuusoma yeye mwenyewe! Muda mwingine hata yeye mwenyewe anasahau ni kitu gani amekiandika! Kwa uzembe huu wa kurush vitu muhimu kama hivyo najiuliza ni watu wangapi wamekufa kutokana na miandiko ya hovyo!. Huwa tunasikia mtu kafanyiwa operation ya ubongo badala ya mguu, Sababu nyuma ya pazia ni hii miandiko ya ajabu! si kingine suala hili mamlaka zilikemee la sivyo ni kirusi kinachoua maelfu ya watu kimyakimya.
Weka ushahidi
1.Ni lini huo muandiko ulishindwa kusomwa?
2.Operation za mguu baada ya kichwa zimefanyika ngapi?,mara yamwisho ilikua lini?
 
Back
Top Bottom