Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Nimekuwa nikifanya research hii kwa muda sasa na bado naendelea na research hiyo, ya kwa nini kuna kuwa na vijana wanaopenda kuingiliwa (mashoga). Mbali na yote yanayosemwa lakini mkae mkijua kwamba sababu ya ushoga si umasikini.
Sababu kubwa ya ushoga ni unajisi ambao wamefanyiwa watoto wa kiume tangu wakiwa na umri mdogo hadi wanakua. Si ajabu leo kijana wa kiume mwenzako akiomba ukampige mashine eti kisa una misuli na mwili uliojengeka.Siiungi mkono serikali katika kutoa adhabu kwa watu hawa kwa sababu wengi wao wamenyanyaswa kijinsia aidha na ndugu zao au watu wanaowazunguka.
Katika hii research ambayo bado inaendelea ili nije na solution ya tatizo hili. Leo nimependa kuwauliza wataalamu wa saikolojia wanamtazamo gani juu ya hili swala.
Je na wao wamefanya research ili kujua jinsi ya kukabiliana na tatizo hili au ndo tumebaki katika kutaka adhabu kali iwekwe huku hatujui ukubwa w tatizo na kiini cha ushoga katika nchi yetu.
Ushoga unazuilika kwa msaada wa kitalamu kutoka kwa wanasaikolojia. Naomba majibu kutoka kwa wataalamu of the specific arena
Sababu kubwa ya ushoga ni unajisi ambao wamefanyiwa watoto wa kiume tangu wakiwa na umri mdogo hadi wanakua. Si ajabu leo kijana wa kiume mwenzako akiomba ukampige mashine eti kisa una misuli na mwili uliojengeka.Siiungi mkono serikali katika kutoa adhabu kwa watu hawa kwa sababu wengi wao wamenyanyaswa kijinsia aidha na ndugu zao au watu wanaowazunguka.
Katika hii research ambayo bado inaendelea ili nije na solution ya tatizo hili. Leo nimependa kuwauliza wataalamu wa saikolojia wanamtazamo gani juu ya hili swala.
Je na wao wamefanya research ili kujua jinsi ya kukabiliana na tatizo hili au ndo tumebaki katika kutaka adhabu kali iwekwe huku hatujui ukubwa w tatizo na kiini cha ushoga katika nchi yetu.
Ushoga unazuilika kwa msaada wa kitalamu kutoka kwa wanasaikolojia. Naomba majibu kutoka kwa wataalamu of the specific arena