lovenessy joshua
Member
- Jan 6, 2018
- 29
- 5
nani alikwambia hivyo vidonge vya rangi nyekundu huleta hedhi???Nilichoma sindano mwezi Wa 9 mwaka Jana ikatakiwa kuisha mwez wa11 katikati ya mwez uo nilitakiwa niingie period but mpaka mwaka huu January sijaona ata tone la damu.nilivoona ivo nikaend kwa dokta akaniambia kuna homoni zang ziko juu kwaio kuna dawa natakiwa nitumie nimejaribu vile vidonge va uzazi va rangi nyekundu maan zile huleta hedhi ila mpaka Leo sijaona nisaidieni
Sindano aliyo kuchoma Daktari ndio iliyo sababisha wewe usipate siku zako za hedhi haikuwa sindano nzuri ndio maana mpaka leo haujapata damu yako ya hedhi nione nipate kukutibia upate kupona. Utamaliza Sindano na kupewa dawa za kushusha Hormone zako lakini kupata damu itakuw akwako ni hadithi ukiweza nitafute kwa wakati wako niapte kukutibia upate kupona.Nilichoma sindano mwezi Wa 9 mwaka Jana ikatakiwa kuisha mwez wa11 katikati ya mwez uo nilitakiwa niingie period but mpaka mwaka huu January sijaona ata tone la damu.nilivoona ivo nikaend kwa dokta akaniambia kuna homoni zang ziko juu kwaio kuna dawa natakiwa nitumie nimejaribu vile vidonge va uzazi va rangi nyekundu maan zile huleta hedhi ila mpaka Leo sijaona nisaidieni