[emoji2] [emoji2] [emoji3] nyie hebu laleniAkishaniasili hukohuko nakula na mzigo!daahhh haya kibongo sio maisha aseee siku nikiondoka nchi hii sirudi aseee kama baghdad bana
Kwani nini usimwombe kuwa kibenten chake?
[emoji2] [emoji2] [emoji3] nyie hebu laleniAkishaniasili hukohuko nakula na mzigo!daahhh haya kibongo sio maisha aseee siku nikiondoka nchi hii sirudi aseee kama baghdad bana
Kwani nini usimwombe kuwa kibenten chake?
[emoji1] [emoji1] [emoji1][emoji2] [emoji2] [emoji3] nyie hebu laleni
Huyu Millard hakutelekeza mtoto kule?asee huyo dogo anafanana na millard ayo,,,
😵😵😵😱😱😵😵😵Huyu Millard hakutelekeza mtoto kule?
ama labda alijiiba na mama wa mtoto?
hahaaa it means watu waliuza mechimalawi na tz ni jirani......................
HahaaaaaDuuhh dogo kala shavu!madonna njoo niasili na mi mama.maisha ya bongo nyoso yanatuuuaaa
hahaaaa hata mimi mkuu ..kuna watu wanabahati zao aiseeKuna kipindi nilisikia mama halisi wa huyo mtoto anamtaka mwanae sijui iliishia wapi!??
Hata mimi ningekua huyo mtoto nisingekubali kurudi kwa mama halisi...
Kubwa zima uje uanze kumpiga chabo akiwa anaoga buree!Duuhh dogo kala shavu!madonna njoo niasili na mi mama.maisha ya bongo nyoso yanatuuuaaa
Ukifanikiwa, mimi niwe mjomba wako!!Duuhh dogo kala shavu!madonna njoo niasili na mi mama.maisha ya bongo nyoso yanatuuuaaa
Ujinga wako, na hao wa kike anakuwa anawageuza kuwa nani? Halafu Madonna anashida ya mwanaume?Kuna tetesi kuwa wakishakuza wanawageuza waume zao kisirisiri[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wakati waafrica visa vya mama wa mambo kuwachoma watoto wa wenzio moto vimekithiti!Wazungu bhana waacheni waitwe wazungu kuasili watoto 4 sio mchezo kabisa
Samahani nitoe uchafu machoni, kuasili maana yake nini? ina maana hajawazaa yeye? kama hutajali niambie kwa lugha ya kigeni naweza kuelewa haraka kuliko msamiati wa Kiswahili chetu pendwaWazungu bhana waacheni waitwe wazungu kuasili watoto 4 sio mchezo kabisa
Kwa lugha ya ulaya ni adoption.Samahani nitoe uchafu machoni, kuasili maana yake nini? ina maana hajawazaa yeye? kama hutajali niambie kwa lugha ya kigeni naweza kuelewa haraka kuliko msamiati wa Kiswahili chetu pendwa
It's possible...Kuna tetesi kuwa wakishakuza wanawageuza waume zao kisirisiri[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
alaa kumbe! hapo nimekusoma ahsante Mrs VanKwa lugha ya ulaya ni adoption.