Madr kwanini nikimaliza kunywa tu natokwa na Jasho sana

Madr kwanini nikimaliza kunywa tu natokwa na Jasho sana

Adharusi

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2012
Posts
14,422
Reaction score
7,350
Mara imekua ikinitokea,mimi ni mtu ninaependa kunywa maji mara kwa mara,mfano nikikaa masaa ma4,bila kunywa Maji,mara nitakapo kunywa tu,jasho linaanza kutililika mwilini....!au nikitembea umbali wa mita miatatu,alafu nikachukua maji nikanywa,jasho litanitiliika
CC madr wote JF
MziziMkavu,nataka kujua je ninatatizo?
Kilo zangu ni 84
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom