Madrid meno nje,barcelona leo

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
6,137
Reaction score
17,908
Mabao mawili ya Karim Benzema,moja la Cristiano Ronaldo na lile la Angel Di Maria yalitosha kuipa ushindi wa 4-1 timu ya Real Madrid dhidi ya Racing Santander na kuifanya iendelee kuongoza ligi ya Hispania.Ushindi huo wa watoto wa Mourinho umewafanya kuizidi Barcelona jumla ya point 13 hivi sasa.Barcelona watakuwa uwanjani leo kukabiriana na wanaoshika nafasi ya tatu katika ligi hiyo,Valencia katika uwanja wa Camp Nou.Madrid waanze sherehe za ubingwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…