Madudu kwenye usaili wa sensa

Madudu kwenye usaili wa sensa

Kba

Member
Joined
Jul 15, 2022
Posts
5
Reaction score
5
Wiki iliyoisha tulikamilisha usahili wa sensa lakini Kuna maajabu ambayo mimi niliyashuhudia kwa macho yangu kwenye majina ya sensa yaliyotoka yalikuwa Kama 38 kata nzima wakati tunaelekea kumaliza zoezi la sensa ghafla likaibuka kundi la walimu wa shule jirani na ofisi ya kata ambapo tulikuwa tukifanyia usaili wale walimu baadhi tuliwahoji kulikoni.

Wakadai wametumiwa meseji kwenye simu na mtendaji waje wafanye usaili ingawaje kwenye orodha ya majina yaliyotoka hawamo na walifanikiwa kufanya usahili kitu kilichokuwa kuniacha mdomo wazi kuna baadhi ya watu ambao hata hawakufanya maombi ya sensa nao walifanikiwa kufanya usahili

Nikawa nawaza hivi Yale maombi ya sensa tuliotuma mtandaoni yalikuwa na maana gani Kama watu wamefanya usahili na hawakutuma maombi ya sensa. Hili ni ajabu ambalo nimelishuhudia kwa macho yangu. Andiko langu lijalo nitaelezea Jinsi viashiria vya Rushwa vilivofanyika kwenye sensa, ni hayo tu
 
Tulipokuwa tunapiga kelele humu hayo usaili usifike katani uishie NBS kuna watu wakawa wanaona tuna chuki na watendaji na Halmashauri, ninajua mengi Sana yanayofanyika Serikali za mitaa ila tunakaa kimya.

Mimi Sina Cha kukuhurumia kwa Sababu inawezekana nawe uliamini katika connection
 
Pole sana awamu nyingine tafuta connection,

Unategemea mm mtendaji nimepewa laki 2 kwa nn nisimwandike hadi nikupe ww ambae sikujui
 
Tulipokuwa tunapiga kelele humu hayo usaili usifike katani uishie NBS kuna watu wakawa wanaona tuna chuki na watendaji na Halmashauri, ninajua mengi Sana yanayofanyika Serikali za mitaa ila tunakaa kimya.

Mimi Sina Cha kukuhurumia kwa Sababu inawezekana nawe uliamini katika connection
Hakika ulisema ukweli lkn watu walikubeza sana, wakiamini kwamba wana koneksheni lkn cha kushangaza hao walioamini kuwa wana koneksheni ndio wanaongoza kwa kulalamika juu ya mchakato ulivyokuwa.
 
Tulipokuwa tunapiga kelele humu hayo usaili usifike katani uishie NBS kuna watu wakawa wanaona tuna chuki na watendaji na Halmashauri, ninajua mengi Sana yanayofanyika Serikali za mitaa ila tunakaa kimya.

Mimi Sina Cha kukuhurumia kwa Sababu inawezekana nawe uliamini katika connection
Kua watu wana njaa sana Nchi hii
 
Back
Top Bottom