Madudu ya Viongozi Yatapungua au Kwisha Kwa Katiba Mpya Kutoa Fursa ya Kuwaadabisha!

Madudu ya Viongozi Yatapungua au Kwisha Kwa Katiba Mpya Kutoa Fursa ya Kuwaadabisha!

Gosbertgoodluck

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2008
Posts
2,855
Reaction score
402
Wandugu wanaJF,
Katika eneo muhimu tunalopaswa kuangalia kwa umakini mkubwa kwenye mapitio ya katiba yetu, ni uadabishaji wa viongozi pamoja na rais mwenyewe wanaofanya madudu wakiwa kwenye hatamu. Katibu mpya lazima itoe fursa hiyo, kama ilivyo kwa wenzetu USA na nchi nyingine nyingi. Kwa kufanya hivyo, madudu ya viongozi yatapungua au kwisha kabisa.
 
Yani wewe unabonyeza right buttons. DUMU Milele. Unaweka checks and balance za maana. Briefings za nchi wanapewa mpaka na kina waziri mkuu. mambo yanaenda. Sasa kama wewe unamwachili mkulu tu na yeye ana vibinti kibao wa kumpepea unategemea nini?:smile-big:
 
Back
Top Bottom