DOKEZO Maduka ya Dawa Muhimu bado wanaendelea kuuza Antibiotics bila kufuata utaratibu licha ya kutolewa kwa katazo

DOKEZO Maduka ya Dawa Muhimu bado wanaendelea kuuza Antibiotics bila kufuata utaratibu licha ya kutolewa kwa katazo

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
A

Anonymous

Guest
Kuna kitu kimejificha kwenye hili kati ya Pharmacy Council na wamiliki wa DLDM (Maduka ya Dawa Muhimu), Kwa nini mpaka leo dawa za antibiotics zinauzwa tu kwenye DLDM licha ya katazo?

Wenye Famasi wanahangaika kupata mapato na gharama za uendeshaji ni mkubwa tofauti na DLDM.

Tunaomba mamlaka husika walifanyie kazi hili ili kuwe na usawa kati ya Famasi na DLDM.
 
Kuna kitu kimejificha kwenye hili kati ya Pharmacy Council na wamiliki wa DLDM (Maduka ya Dawa Muhimu), Kwa nini mpaka leo dawa za antibiotics zinauzwa tu kwenye DLDM licha ya katazo?

Wenye Famasi wanahangaika kupata mapato na gharama za uendeshaji ni mkubwa tofauti na DLDM.

Tunaomba mamlaka husika walifanyie kazi hili ili kuwe na usawa kati ya Famasi na DLDM.
Well
 
Mimi ni mhanga wa hilo tatizo, nilishapeleka malalamiko mpk makao makuu lakini sikupata msaada ila nilichogundua Pharmacy Council na wamiliki wa DLDM ni kama kuna sehemu wanaelewana
 
Back
Top Bottom