PHILLIGONA
Member
- Jul 12, 2023
- 17
- 24
Habari
Naomba kujua machimbo ya maduka makubwa ya jumla ya pipi ili niweze kununua nami nikauze jumla
Naomba kujua machimbo ya maduka makubwa ya jumla ya pipi ili niweze kununua nami nikauze jumla
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda kitumbini- Jamhuri street, kule unapita mnazi mmoja.. chini kidogo ya soko la Kisutu na pembeni kidogo ya kituo Cha mwendo kasi Cha Kisutu Dar es Salaam. Huko utapata aina zote za pipi.. pia Chimbo lingine Nenda Kituo Cha Mwendokasi Cha Gerezani Kisha ukiwa umesimama hapo.. Tazama mbele opposite ng'ambo ya barabrara Kuna Mtaa fuata Mtaa huo.. jengo la pili kulia chini utaona maduka ya Bidhaa zako.Habari , naomba kujua machimbo ya maduka makubwa ya jumla ya pipi ili niweze kununua nami nikauze jumla
Na hawata ishakuzaliwaPipi zinalipa Sana ndio bidhaa inayotoka Sana madukani
Hakika watoto waendelee kuzaliwa
Opposite kituo cha mwendokasi nimeenda ila wao wanauza jumla kwa watu wa rejareja, mimi nataka kuuza kama wao kwa jumla kwa watu wengine.Nenda kitumbini- Jamhuri street, kule unapita mnazi mmoja.. chini kidogo ya soko la Kisutu na pembeni kidogo ya kituo Cha mwendo kasi Cha Kisutu Dar es Salaam. Huko utapata aina zote za pipi.. pia Chimbo lingine Nenda Kituo Cha Mwendokasi Cha Gerezani Kisha ukiwa umesimama hapo.. Tazama mbele opposite ng'ambo ya barabrara Kuna Mtaa fuata Mtaa huo.. jengo la pili kulia chini utaona maduka ya Bidhaa zako.
Ukishindwa:- [emoji3513]0674 7454
Nenda Kitumbini-Jamhuri street ((Kuanzia kwenye Shelli ya PUMA)) Ushindwe mwenyewe.opposite kituo cha mwendo kasi nimeenda ila wao wanauza jumla kwa watu wa leja leja mimi nataka kuuza kama wao kwa jumla kwa watu wengine
God bless you too...asanteNenda Kitumbini-Jamhuri street (( Kuanzia kwenye Shelli ya PUMA )) Ushindwe mwenyewe.
Mfano:- Wanauza Box la Big G za GOMBA by that time ((sijui leo kwa kweli )) liliuzwa Elfu 28 -29.. Wakati wewe utaenda kumuuzia mtu mwingine/watu wa dukani Elfu 31-32 ambapo hii ni Bei sawa na wanao uza maduka yote ya Jumla ya mtaani (( minimum faida huwa ni Elfu 2 per box ))
Yule utayekuwa umemuuzia yeye ataenda kuuza kwa reja reja Big g Tsh. 50 - 100 /1pc.
May God Bless you.
namba kama haijaopposite kituo cha mwendo kasi nimeenda ila wao wanauza jumla kwa watu wa leja leja mimi nataka kuuza kama wao kwa jumla kwa watu wengi
asante nitakujuza kama nilifanikiaNenda kitumbini- Jamhuri street, kule unapita mnazi mmoja.. chini kidogo ya soko la Kisutu na pembeni kidogo ya kituo Cha mwendo kasi Cha Kisutu Dar es Salaam. Huko utapata aina zote za pipi.. pia Chimbo lingine Nenda Kituo Cha Mwendokasi Cha Gerezani Kisha ukiwa umesimama hapo.. Tazama mbele opposite ng'ambo ya barabrara Kuna Mtaa fuata Mtaa huo.. jengo la pili kulia chini utaona maduka ya Bidhaa zako.
Ukishindwa:- [emoji3513]0674 7454 63
Habari
Naomba kujua machimbo ya maduka makubwa ya jumla ya pipi ili niweze kununua nami nikauze jumla
Unataka pipi aina zipi? Nijibu nikuunganishe na baba yangu yeye ana kiwanda kabisa.
Aisee thanks for sharing, kuna big g nazitafuta bei ya jumla, ngoja nikawatembeleeNenda Kitumbini-Jamhuri street (( Kuanzia kwenye Shelli ya PUMA )) Ushindwe mwenyewe.
Mfano:- Wanauza Box la Big G za GOMBA by that time ((sijui leo kwa kweli )) liliuzwa Elfu 28 -29.. Wakati wewe utaenda kumuuzia mtu mwingine/watu wa dukani Elfu 31-32 ambapo hii ni Bei sawa na wanao uza maduka yote ya Jumla ya mtaani (( minimum faida huwa ni Elfu 2 per box ))
Yule utayekuwa umemuuzia yeye ataenda kuuza kwa reja reja Big g Tsh. 50 - 100 /1pc.
May God Bless you.
Boss nicheki watsap nukupe number ya mdada yupo mwanza wanatengeneza wanasafirisha had dar kuwauzia watu wa jumla
Boss nicheki watsap nukupe number ya mdada yupo mwanza wanatengeneza wanasafirisha had dar kuwauzia watu wa jumla
Unataka pipi aina zipi? Nijibu nikuunganishe na baba yangu yeye ana kiwanda kabisa.
Mkuu kwani Baba yako anazalisha pipi za aina ipi?
Chief umefanikiwa kupata maduka ya pipi kwa jumla.?Habari
Naomba kujua machimbo ya maduka makubwa ya jumla ya pipi ili niweze kununua nami nikauze jumla
hii nimepata asanteni sanaChief umefanikiwa kupata maduka ya pipi kwa jumla.?