Haki Madhubuti
Senior Member
- Feb 26, 2014
- 183
- 165
https://www.facebook.com/
Haya sasa ona ripoti ya TRA toka Julai hadi September hiyo hapo, wastani kila mwezi ni 1.2 tril. Wewe ni mtu wa hovyo sana, kazi yako ni umbeya kusikiliza makelele ya Zitto bila kutafuta taarifa, sasa uliposema makusanyo ni 600M ulitoa wapi?, angalia usije ukaolewa kwa kusikiliza maneno ya vijiweni
Huna akili siwezi kuendelea kukuelimisha, kama waalimu wako walishindwa mimi sina uwezo huo, lakini hadi sasa $3.1B pesa ya kujenga reli imetoka serikalini, hakuna nchi yoyote ya kiafrika iliyoweza kujenga reli kwa kutoa pesa yake yapo $1B, endelea na ujinga wako uliorithi toka tumboni mwa mama yakoKwa akili yako fupi. Serikali inakusanya pesa zote hizo halafu inashindwa kukidhi bajeti yake ya 29 trillions! Hata uongo wa juzi wa dikteta uchwara kuingia madarakani huku kilo ya sukari ikiwa 5,000 uliuamini. Kuukimbia umande ni ghali sana
Miaka miwili sasa pesa nyingi zinakusanywa na Serikali lakini wakati huo huo hawana uwezo wa kukidhi bajeti na kuongeza mishahara. Sikurupuki ninapoandika hapa.
Huna akili siwezi kuendelea kukuelimisha, kama waalimu wako walishindwa mimi sina uwezo huo, lakini hadi sasa $3.1B pesa ya kujenga reli imetoka serikalini, hakuna nchi yoyote ya kiafrika iliyoweza kujenga reli kwa kutoa pesa yake yapo $1B, endelea na ujinga wako uliorithi toka tumboni mwa mama yako
Huna akili siwezi kupoteza muda wangu na weweKuthibitisha kama wewe ni ZWAZWA ushahidi huu hapa. Eti pesa ya kujenga reli imetoka Serikalini! Wacha uongo wewe mpumbavu.
Tanzania seeks Turkish loan for railway, Erdogan raises cleric's network
Huna akili siwezi kupoteza muda wangu na wewe
Tangu lini taahira akamjua mwenye akili. Nimekuthibishia ujinga wako uliokithiri eti Serikali itatoa $1 billion! Kwa makusanyo yepi ikiwa bajeti tu inawashinda. Unajua $1 Billion kwenye T shs ni kiasi gani wewe ju.ha!!!
Soma report ya Moody kwa undani uielewe yote, wao wanafahamu hayo yote ya madeni ya japan na Marekani? Kwanini hawana wasiwasi na nchi hizo zote badala yake wanaitaja Kenya?, ni sawa na kusema Chris Kirubi amekopa 80% ya utajiri wake, na bado banks zinamtafuta aendelee kukopa, wewe ukienda bank hata kama huna deni kabisa lakini kupewa mkopo ni shida, Japan=Kris Kirubi; Kenya=wewe
Hiyo habari yako ni kujaribu kupotosha ukweli hiyo kampuni ya Uchumi sio Kwamba ilishindwa kufanya kazi Tanzania bali hiyo kampuni ilifilisika Rasmi hata huko Kenya. Kampuni ya Nakumatt pia imetangaza rasmi kuwa mfilisi huko Kenya. Kufulisika kwa Makampuni haya isibebeshwe lawama serikali ya awamu ya tano.Nakumbuka wakati kampuni ya Kenya ya Uchumi ilipoanza michakato ya kufunga tawi lake la Tanzania, Wabongo walishabikia sana humu na kuanzisha mada za kuchekelea. Sasa taarifa zinaonyesha makampuni mengine ya nchi zingine pia wanaondoka Tanzania, sijui kama na wao mnawachekelea.
Yaani huwa sielewi mnatumia akili gani kufurahia na kusheherekea pale makampuni ya kigeni yanafunga matawi yao kwenye nchi yenu.
-----------------------------------------
By APOLINARI TAIRO
More by this Author
Tanzania is becoming an unfavourable destination for multinational retailers due to low profitability.
Riding on incentives extended to foreign investors, multinational supermarket chains opened businesses in Tanzania, but in the past 15 years most of them have exited the market.
Since 1999, six multinational supermarkets have come into Tanzania and three closed down or sold their stake.
Score Supermarket of South Africa opened its first supermarket in Tanzania in 2000 but later sold it to another South African retail chain, Shoprite.
Kenya’s Uchumi closed down about two years ago.
Game is the latest entrant from South Africa. The other is Choppies of Botswana, with shops in Dar es Salaam
Shoprite acquired Score Supermarket’s operations in Tanzania in 2001, comprising three supermarkets and a small distribution centre. It sold its stake to Nakumatt in 2014.
Poor shopping culture
The low profitability has been attributed to a poor shopping culture among Tanzanians.
Hamphrey Moshi, an economist and researcher from the University of Dar es Salaam told The EastAfrican that the country is not as attractive to supermarket chains because the economy is smaller compared with that of countries like Kenya and South Africa.
Prof Moshi noted that all big supermarkets in the country were foreign-owned companies and were selling imported products.
“Tanzania needs local industries to produce products to sell in supermarkets. This would increase profits for these retailers,” he said.
Before closing its business in Tanzania, Uchumi issued a statement saying its outlets in Uganda and Tanzania made up only 4.75 per cent of its operations, yet accounted for over 25 per cent of its operating costs.
Since taking over from Shoprite, Nakumatt which is now the biggest supermarket in Tanzania, operates two branches in Dar es Salaam, one in Arusha and another in Moshi.
Retailers exit Tanzania over profits
Tija gani wakati nchi imeshakuwa kama zimbabwe!!!Investment haipo kwenye supermarkets pekee. Kuna uwekezaji kwenye nyanja za kilimo na ufugaji, majengo ya kisasa na mengine mengi. Vileviele serikali ya Tanzania kwa sasa imeelekeza dira yake kwenye uwekezaji wenye tija, uwekezaji rafiki usio na chembe ya unyonyaji.
Huwezi kuelewa akili finyu. Hujui ukusanyaji wa mapato unaathiri vipi bajeti ya Taifa. Tunadanganywa kwamba mapato ni makubwa lakini ikija kwenye bajeti hela hakuna! Serikali inaishia kutoa less than 50% ya bajeti husika bila kuweka wazi sababu husika za kushindwa kutoa 100% ya bajeti na hapo hapo tunaambiwa uchumi unakuwa kwa more than 6% kila mwaka! Uchumi hewa wa Wadanganyika. Wapumbavu nchi hii ni mtaji mkubwa sana wa chama cha wahuni na mafisadi.
Wacha kupoteza nguvu nyingi na muda kwenye report ya Moody kuhusu nchi ya watu, nenda ukapangue hoja za Zitto Kabwe kuhusu nchi yako, ona hapa alivyodadavua taarifa yote.
https://www.facebook.com/Uchumi wa Nchi Unazidi Kudidimia, Thamani ya Shilingi Yashuka, Mfumuko wa Bei Wapanda.
Jana Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) ilitoa taarifa yake juu ya hali ya uchumi wa nchi yetu, taarifa iliyolewa inaonyesha hali si nzuri, uchumi wa nchi yetu unaonyesha kusinyaa na kudidimia, mfumuko wa bei unaonyesha kupanda na thamani ya shilingi kudidimia.
Taarifa hiyo inaonyesha namna hali ya uchumi wetu inavyozidi kuwa mbaya zaidi kwa wananchi wa hali ya chini , kwa mfumuko wa bei umepanda mno tangu kuanza kwa utekelezaji wa bajeti ya 2017/18, ongezeko ambalo limechangiwa zaidi na kupanda kwa bei ya bidhaa za chakula (bidhaa ambazo wananchi wengi zaidi wanazitumia).
Baadhi ya bidhaa za vyakula zilizochangia ongezeko hilo ni dagaa asilimia 7.6, matunda makavu kama nazi kwa (3.1), viazi vitamu kwa (3.0), mchele (1.5) na ndizi (1.5). Bidhaa nyingine zilizochangia ni mkaa kwa asilimia 4.0, dizeli (2.4) na petroli (0.6). Ukizitazama bidhaa zote hizi ni zile ambazo zinatumiwa zaidi na wananchi wa kawaida kabisa. Hivyo gharama za maisha kwa wananchi wa kawaida zimepanda mno, ufukara kutopea na familia zitakazoweza kupata angalao milo miwili kwa siku kupungua zaidi.
Taarifa imeonyesha thamani ya sarafu ya Tanzania imeshuka, uwezo wa Tsh. 100 kununua bidhaa umeshuka hadi Tsh. 92.18. Maana yake ni kuwa mwaka 2016 shilingi 100,000 ilikupa bidhaa za shilingi 100,000. Mwaka huu 2017 shilingi 100,000 inakupa bidhaa za shilingi 92,000. Kwa hiyo ili upate bidhaa za shilingi laki moja inakubidi uongeze shilingi elfu 8 zaidi. Kiuchumi, ili kulinda hali za wananchi, mishahara ilipaswa kupanda kwa asilimia 8 ili kuwapunguzia maumivu ya gharama za maisha.
Lakini hali hiyo inatokea katika wakati ambao mishahara haijapanda, na Rais wa nchi yetu kasema Serikali anayoingoza haitapandisha kabisa mishahara. Hali ni mbaya mno mtaani, mijini uzalishaji wa bidhaa za viwanda umeshuka kwa zaidi ya nusu, kutoka trilioni 1.5 mpaka bilioni 700 tu.
Siku za karibuni tumeshuhudia makampuni yakipunguza wafanyakazi na mengine kufungwa. Pia Serikali yenyewe ilipunguza watumishi iliyowaita hewa na wenye vyeti feki. Hivyo hivi sasa kuna Watanzania wengi mtaani ambao hawana shughuli zinazowaingizia kipato, tayari Wawekezaji wakubwa nchini wameshaitaka Serikali kutazama upya utendaji wake ili kuweka mazingira mazuri ya biashara na uwekezaji ambao unashuka mno.
Vijijini tunashuhudia ushukaji wa sekta ya Kilimo kuliko wakati wowote ule tangu baada ya Uhuru. Wakulima wa Korosho hawajapewa pembejeo, hivyo uzalishaji wa zao linalotuingia mapato ya Kigeni zaidi nchini utashuka msimu huu wa mavuno, Tumbaku (zao la pili Kwa kuingiza Fedha za kigeni) tayari wakulima wanalia, mazao ya choroko na kunde bei imeshuka kwa zaidi ya 500%, Pamba uzalishaji umeshuka Kwa 63% kati ya mwaka 2015 na 2017 (miaka miwili ya awamu ya tano), Karafuu nayo mauzo yameshuka zaidi, na mauzo Nje ya dhahabu kuanza kushuka na hivyo kupelekea shilingi kushuka thamani na hivyo mfumuko wa bei kupanda Kwa kasi.
Nini Kifanyike?
1. Serikali itazame namna inatekeleza mipango yake ya Maendeleo. Uwekezaji kwenye miradi mikubwa ni jambo jema sana nchini kwani miradi mikubwa huingiza fedha kwenye mzunguko na hivyo kuchochea uchumi. Hata hivyo maarifa yanatakiwa kwenye miradi hii. Hapa nchini kwetu miradi mikubwa inaondoa Fedha kwenye uchumi na kupeleka Nje ya Nchi, tena Kwa Fedha za kigeni. Mfano Reli na Ndege ni miradi inayoondoa Fedha Nchini kwa dola na sio kwa madafu. Badala ya miradi hii kuwa ahueni inakuwa hasara kwa Nchi yetu.
2. Serikali isikilize na kufanyia kazi mawazo ya sekta binafsi katika kuweka sawa mazingira ya Uwekezaji bila kupoka haki ya Nchi kufaidika na rasilimali zake. Kwa mfano hoja aliyotoa Ndugu Dangote sio ya kupuuza kwani kwa kawaida Mitaji huona aibu (capital is shy). Serikali ijiondoe kwenye mentality kuwa Uwekezaji ni kupata kodi tu, la hasha. Kwa demografia ya Tanzania, ambapo watu milioni 1.6 huingia kwenye soko la ajira kwa mwaka, Ajira yapaswa kuwa lengo kubwa la Serikali katika kuvutia mitaji kutoka nje na vile vile ndani.
3. 3 Serikali ifanyie kazi haswa uchumi wa vijijini kwa kurekebisha mapungufu yote yanayoshusha uzalishaji kwenye sekta ya kilimo, kuanzia pembejeo, masoko na viwanda vidogo vya kuongeza thamani ya mazao (agro processing industries).
Kwa Watanzania,
Kama Kiongozi wa watu hali hii ya kudidimia kwa uchumi wetu inaniumiza sana, nayaelewa maumivu mnayoyapata wananchi, wajibu wangu ni kupaza sauti ili Serikali ichukue hatua kupunguza makali haya ya hali mbaya ya uchumi. Mimi na chama ninachokiongoza, ACT Wazalendo, hatutaacha wajibu huo wa kuyasemea masuala yenu wananchi, hiyo ni ahadi yetu kwenu wananchi, tutaendelea kuwasemea.
Kabwe Z. Ruyagwa Zitto
Kiongozi wa Chama, ACT Wazalendo
Oktoba 10, 2017
Dar es salaam
https://www.facebook.com/
Tanzania Inflation Rate ForecastWacha kupoteza nguvu nyingi na muda kwenye report ya Moody kuhusu nchi ya watu, nenda ukapangue hoja za Zitto Kabwe kuhusu nchi yako, ona hapa alivyodadavua taarifa yote.
https://www.facebook.com/Uchumi wa Nchi Unazidi Kudidimia, Thamani ya Shilingi Yashuka, Mfumuko wa Bei Wapanda.
Jana Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) ilitoa taarifa yake juu ya hali ya uchumi wa nchi yetu, taarifa iliyolewa inaonyesha hali si nzuri, uchumi wa nchi yetu unaonyesha kusinyaa na kudidimia, mfumuko wa bei unaonyesha kupanda na thamani ya shilingi kudidimia.
Taarifa hiyo inaonyesha namna hali ya uchumi wetu inavyozidi kuwa mbaya zaidi kwa wananchi wa hali ya chini , kwa mfumuko wa bei umepanda mno tangu kuanza kwa utekelezaji wa bajeti ya 2017/18, ongezeko ambalo limechangiwa zaidi na kupanda kwa bei ya bidhaa za chakula (bidhaa ambazo wananchi wengi zaidi wanazitumia).
Baadhi ya bidhaa za vyakula zilizochangia ongezeko hilo ni dagaa asilimia 7.6, matunda makavu kama nazi kwa (3.1), viazi vitamu kwa (3.0), mchele (1.5) na ndizi (1.5). Bidhaa nyingine zilizochangia ni mkaa kwa asilimia 4.0, dizeli (2.4) na petroli (0.6). Ukizitazama bidhaa zote hizi ni zile ambazo zinatumiwa zaidi na wananchi wa kawaida kabisa. Hivyo gharama za maisha kwa wananchi wa kawaida zimepanda mno, ufukara kutopea na familia zitakazoweza kupata angalao milo miwili kwa siku kupungua zaidi.
Taarifa imeonyesha thamani ya sarafu ya Tanzania imeshuka, uwezo wa Tsh. 100 kununua bidhaa umeshuka hadi Tsh. 92.18. Maana yake ni kuwa mwaka 2016 shilingi 100,000 ilikupa bidhaa za shilingi 100,000. Mwaka huu 2017 shilingi 100,000 inakupa bidhaa za shilingi 92,000. Kwa hiyo ili upate bidhaa za shilingi laki moja inakubidi uongeze shilingi elfu 8 zaidi. Kiuchumi, ili kulinda hali za wananchi, mishahara ilipaswa kupanda kwa asilimia 8 ili kuwapunguzia maumivu ya gharama za maisha.
Lakini hali hiyo inatokea katika wakati ambao mishahara haijapanda, na Rais wa nchi yetu kasema Serikali anayoingoza haitapandisha kabisa mishahara. Hali ni mbaya mno mtaani, mijini uzalishaji wa bidhaa za viwanda umeshuka kwa zaidi ya nusu, kutoka trilioni 1.5 mpaka bilioni 700 tu.
Siku za karibuni tumeshuhudia makampuni yakipunguza wafanyakazi na mengine kufungwa. Pia Serikali yenyewe ilipunguza watumishi iliyowaita hewa na wenye vyeti feki. Hivyo hivi sasa kuna Watanzania wengi mtaani ambao hawana shughuli zinazowaingizia kipato, tayari Wawekezaji wakubwa nchini wameshaitaka Serikali kutazama upya utendaji wake ili kuweka mazingira mazuri ya biashara na uwekezaji ambao unashuka mno.
Vijijini tunashuhudia ushukaji wa sekta ya Kilimo kuliko wakati wowote ule tangu baada ya Uhuru. Wakulima wa Korosho hawajapewa pembejeo, hivyo uzalishaji wa zao linalotuingia mapato ya Kigeni zaidi nchini utashuka msimu huu wa mavuno, Tumbaku (zao la pili Kwa kuingiza Fedha za kigeni) tayari wakulima wanalia, mazao ya choroko na kunde bei imeshuka kwa zaidi ya 500%, Pamba uzalishaji umeshuka Kwa 63% kati ya mwaka 2015 na 2017 (miaka miwili ya awamu ya tano), Karafuu nayo mauzo yameshuka zaidi, na mauzo Nje ya dhahabu kuanza kushuka na hivyo kupelekea shilingi kushuka thamani na hivyo mfumuko wa bei kupanda Kwa kasi.
Nini Kifanyike?
1. Serikali itazame namna inatekeleza mipango yake ya Maendeleo. Uwekezaji kwenye miradi mikubwa ni jambo jema sana nchini kwani miradi mikubwa huingiza fedha kwenye mzunguko na hivyo kuchochea uchumi. Hata hivyo maarifa yanatakiwa kwenye miradi hii. Hapa nchini kwetu miradi mikubwa inaondoa Fedha kwenye uchumi na kupeleka Nje ya Nchi, tena Kwa Fedha za kigeni. Mfano Reli na Ndege ni miradi inayoondoa Fedha Nchini kwa dola na sio kwa madafu. Badala ya miradi hii kuwa ahueni inakuwa hasara kwa Nchi yetu.
2. Serikali isikilize na kufanyia kazi mawazo ya sekta binafsi katika kuweka sawa mazingira ya Uwekezaji bila kupoka haki ya Nchi kufaidika na rasilimali zake. Kwa mfano hoja aliyotoa Ndugu Dangote sio ya kupuuza kwani kwa kawaida Mitaji huona aibu (capital is shy). Serikali ijiondoe kwenye mentality kuwa Uwekezaji ni kupata kodi tu, la hasha. Kwa demografia ya Tanzania, ambapo watu milioni 1.6 huingia kwenye soko la ajira kwa mwaka, Ajira yapaswa kuwa lengo kubwa la Serikali katika kuvutia mitaji kutoka nje na vile vile ndani.
3. 3 Serikali ifanyie kazi haswa uchumi wa vijijini kwa kurekebisha mapungufu yote yanayoshusha uzalishaji kwenye sekta ya kilimo, kuanzia pembejeo, masoko na viwanda vidogo vya kuongeza thamani ya mazao (agro processing industries).
Kwa Watanzania,
Kama Kiongozi wa watu hali hii ya kudidimia kwa uchumi wetu inaniumiza sana, nayaelewa maumivu mnayoyapata wananchi, wajibu wangu ni kupaza sauti ili Serikali ichukue hatua kupunguza makali haya ya hali mbaya ya uchumi. Mimi na chama ninachokiongoza, ACT Wazalendo, hatutaacha wajibu huo wa kuyasemea masuala yenu wananchi, hiyo ni ahadi yetu kwenu wananchi, tutaendelea kuwasemea.
Kabwe Z. Ruyagwa Zitto
Kiongozi wa Chama, ACT Wazalendo
Oktoba 10, 2017
Dar es salaam
https://www.facebook.com/
Consumer Price Index (CPI)Wacha kupoteza nguvu nyingi na muda kwenye report ya Moody kuhusu nchi ya watu, nenda ukapangue hoja za Zitto Kabwe kuhusu nchi yako, ona hapa alivyodadavua taarifa yote.
https://www.facebook.com/Uchumi wa Nchi Unazidi Kudidimia, Thamani ya Shilingi Yashuka, Mfumuko wa Bei Wapanda.
Jana Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) ilitoa taarifa yake juu ya hali ya uchumi wa nchi yetu, taarifa iliyolewa inaonyesha hali si nzuri, uchumi wa nchi yetu unaonyesha kusinyaa na kudidimia, mfumuko wa bei unaonyesha kupanda na thamani ya shilingi kudidimia.
Taarifa hiyo inaonyesha namna hali ya uchumi wetu inavyozidi kuwa mbaya zaidi kwa wananchi wa hali ya chini , kwa mfumuko wa bei umepanda mno tangu kuanza kwa utekelezaji wa bajeti ya 2017/18, ongezeko ambalo limechangiwa zaidi na kupanda kwa bei ya bidhaa za chakula (bidhaa ambazo wananchi wengi zaidi wanazitumia).
Baadhi ya bidhaa za vyakula zilizochangia ongezeko hilo ni dagaa asilimia 7.6, matunda makavu kama nazi kwa (3.1), viazi vitamu kwa (3.0), mchele (1.5) na ndizi (1.5). Bidhaa nyingine zilizochangia ni mkaa kwa asilimia 4.0, dizeli (2.4) na petroli (0.6). Ukizitazama bidhaa zote hizi ni zile ambazo zinatumiwa zaidi na wananchi wa kawaida kabisa. Hivyo gharama za maisha kwa wananchi wa kawaida zimepanda mno, ufukara kutopea na familia zitakazoweza kupata angalao milo miwili kwa siku kupungua zaidi.
Taarifa imeonyesha thamani ya sarafu ya Tanzania imeshuka, uwezo wa Tsh. 100 kununua bidhaa umeshuka hadi Tsh. 92.18. Maana yake ni kuwa mwaka 2016 shilingi 100,000 ilikupa bidhaa za shilingi 100,000. Mwaka huu 2017 shilingi 100,000 inakupa bidhaa za shilingi 92,000. Kwa hiyo ili upate bidhaa za shilingi laki moja inakubidi uongeze shilingi elfu 8 zaidi. Kiuchumi, ili kulinda hali za wananchi, mishahara ilipaswa kupanda kwa asilimia 8 ili kuwapunguzia maumivu ya gharama za maisha.
Lakini hali hiyo inatokea katika wakati ambao mishahara haijapanda, na Rais wa nchi yetu kasema Serikali anayoingoza haitapandisha kabisa mishahara. Hali ni mbaya mno mtaani, mijini uzalishaji wa bidhaa za viwanda umeshuka kwa zaidi ya nusu, kutoka trilioni 1.5 mpaka bilioni 700 tu.
Siku za karibuni tumeshuhudia makampuni yakipunguza wafanyakazi na mengine kufungwa. Pia Serikali yenyewe ilipunguza watumishi iliyowaita hewa na wenye vyeti feki. Hivyo hivi sasa kuna Watanzania wengi mtaani ambao hawana shughuli zinazowaingizia kipato, tayari Wawekezaji wakubwa nchini wameshaitaka Serikali kutazama upya utendaji wake ili kuweka mazingira mazuri ya biashara na uwekezaji ambao unashuka mno.
Vijijini tunashuhudia ushukaji wa sekta ya Kilimo kuliko wakati wowote ule tangu baada ya Uhuru. Wakulima wa Korosho hawajapewa pembejeo, hivyo uzalishaji wa zao linalotuingia mapato ya Kigeni zaidi nchini utashuka msimu huu wa mavuno, Tumbaku (zao la pili Kwa kuingiza Fedha za kigeni) tayari wakulima wanalia, mazao ya choroko na kunde bei imeshuka kwa zaidi ya 500%, Pamba uzalishaji umeshuka Kwa 63% kati ya mwaka 2015 na 2017 (miaka miwili ya awamu ya tano), Karafuu nayo mauzo yameshuka zaidi, na mauzo Nje ya dhahabu kuanza kushuka na hivyo kupelekea shilingi kushuka thamani na hivyo mfumuko wa bei kupanda Kwa kasi.
Nini Kifanyike?
1. Serikali itazame namna inatekeleza mipango yake ya Maendeleo. Uwekezaji kwenye miradi mikubwa ni jambo jema sana nchini kwani miradi mikubwa huingiza fedha kwenye mzunguko na hivyo kuchochea uchumi. Hata hivyo maarifa yanatakiwa kwenye miradi hii. Hapa nchini kwetu miradi mikubwa inaondoa Fedha kwenye uchumi na kupeleka Nje ya Nchi, tena Kwa Fedha za kigeni. Mfano Reli na Ndege ni miradi inayoondoa Fedha Nchini kwa dola na sio kwa madafu. Badala ya miradi hii kuwa ahueni inakuwa hasara kwa Nchi yetu.
2. Serikali isikilize na kufanyia kazi mawazo ya sekta binafsi katika kuweka sawa mazingira ya Uwekezaji bila kupoka haki ya Nchi kufaidika na rasilimali zake. Kwa mfano hoja aliyotoa Ndugu Dangote sio ya kupuuza kwani kwa kawaida Mitaji huona aibu (capital is shy). Serikali ijiondoe kwenye mentality kuwa Uwekezaji ni kupata kodi tu, la hasha. Kwa demografia ya Tanzania, ambapo watu milioni 1.6 huingia kwenye soko la ajira kwa mwaka, Ajira yapaswa kuwa lengo kubwa la Serikali katika kuvutia mitaji kutoka nje na vile vile ndani.
3. 3 Serikali ifanyie kazi haswa uchumi wa vijijini kwa kurekebisha mapungufu yote yanayoshusha uzalishaji kwenye sekta ya kilimo, kuanzia pembejeo, masoko na viwanda vidogo vya kuongeza thamani ya mazao (agro processing industries).
Kwa Watanzania,
Kama Kiongozi wa watu hali hii ya kudidimia kwa uchumi wetu inaniumiza sana, nayaelewa maumivu mnayoyapata wananchi, wajibu wangu ni kupaza sauti ili Serikali ichukue hatua kupunguza makali haya ya hali mbaya ya uchumi. Mimi na chama ninachokiongoza, ACT Wazalendo, hatutaacha wajibu huo wa kuyasemea masuala yenu wananchi, hiyo ni ahadi yetu kwenu wananchi, tutaendelea kuwasemea.
Kabwe Z. Ruyagwa Zitto
Kiongozi wa Chama, ACT Wazalendo
Oktoba 10, 2017
Dar es salaam
https://www.facebook.com/
Unapotosha. Nchi imekuwa kama zimbambwa katika nyanja zipi kama sio uongo tuTija gani wakati nchi imeshakuwa kama zimbabwe!!!
Geza,saidia kkumbusha hawa vilaza kwamba hats Uganda ilifungwa.Article by nyangau na posted by nyangau,nothing new.Wewe MK254 nyoko sana! Huwezi fananisha Uchumi na Nakumatt na BIASHARA nyingine Hata Kenya Uchumi na Nakumatt wanafunga maduka!
If so,kaolewe na Wakenya sasa.Msema kweli ni mpenzi wa Mungu Mkuu. Sisi ni majirani hivyo hakuna sababu ya jirani mmoja kufurahia kuumia kwa jirani yake kwa namna yoyote ile. Tanzania ikifanya vizuri kiuchumi bila ya shaka kuna Wakenya wengi wanafaidika and vice versa when Kenya's economy is firing on all cylinders.
If so,kaolewe na Wakenya sasa.