Maduka ya Vodacom kuwa wazi kwa masaa 24 kuanzia tarehe 20

Tunamsikiliza rais wa wanyonge atakujaje leo.
Ishu ni NIDA ID pia na mtandao wao uko down toka Ijumaa mchana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee seva za nida ni shida.
Lain hazisajiliki.
Pita kwa kijana anayesajili hapo ndo utaelewa


NIDA wameyataka wenyewe, Serikali ichunguze mfumo mzima wa NIDA, kuna mahali walipiga 10% nene inashindwa kufidia gap
 
Ishu ya kusajili laini zenye majina tofauti, ati hadi upate kiapo toka mahakamani!
That's totally awkward!
Na kwanini mitandao mingine hawaku stress huo upuuzi!
Voda tu ndo wamekomalia ile mbaya,
Kusema kweli yawezekana hiyo kitu imefanya walio wengi wakazitupa kando laini tata kama hizo na kusajili laini tofauti

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukijiuliza Kwanini Foleni Zimejaa Nida Badala Ya Kwenye Makampuni Ya Simu, Ndipo Utajua Aliyetoa Hili Wazo.................... (jaza nafasi iliyoachwa wazi)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…