heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 6,736
- 10,669
Katika vyuo binafsi maswali yangu ni
Je nikisoma kuanzia ngazi chet hadi diploma na kuendelea, ajira zake hazisumbui?
Je unaweza ukajiajiri mwenyewe kama hautaki kuajiriwa?
Field na ugumu wake?
Je nikisoma kuanzia ngazi chet hadi diploma na kuendelea, ajira zake hazisumbui?
Je unaweza ukajiajiri mwenyewe kama hautaki kuajiriwa?
Field na ugumu wake?