Michael snow
Senior Member
- Aug 31, 2013
- 102
- 12
Nyie hamjapiga cozy...mmekula shu-shu-shumbwela sana...
Nyie hamjapiga cozy...mmekula shu-shu-shumbwela sana...
We nyie kanembwa .. Mtu anapewa hadi C 25 .. Porini hamkwenda . Pitshot mwanza mwisho .. Ila Msange ndo walioangushia kuliko wote.
We nyie kanembwa .. Mtu anapewa hadi C 25 .. Porini hamkwenda . Pitshot mwanza mwisho .. Ila Msange ndo walioangushia kuliko wote.
We nyie kanembwa .. Mtu anapewa hadi C 25 .. Porini hamkwenda . Pitshot mwanza mwisho .. Ila Msange ndo walioangushia kuliko wote.
AG.4464 S/M xir jyerphy...824 KJ KANEMBWA...vipi wewe mike
Depo lilikuwa 821 KJ Bulombora...Makamanda wa vita tumejila sana aisee!
Poti nyie ruvu ndo hamjajila kabisa...6 weeks mlikuwa munaupunyua saa 4,mnamwaga tee hadi saa12...fatik mlikua hamna ,5 za kumwaga...834kj mlituvuna mno
Nyie mmepiga bila mkesha, hizo fatiki ukizipiga na mkesha ni balaa.. nyie watoto mchele mchele Fatiki bila Mkeshaaa utafikiri home tuuu....wewe nan kakwambia msange tumeangushia? Fatiki mlizopga ndo 2mepga na sis labda mmetuzid ng'ai ng'ai tu
hivi admission letters zimeshatoka, UDSM ??????????/
Bado hazijatoka, ila nafikiri ukienda chuoni unaweza kuzipata..
Bulombora nakubali mnakaribia level zetu za kujila... Da but si wale majeshi kunoga ndo waliipata pata
nilienda juma3, wakaniambia kwmba wataiweka kwenye mtandao, pia jana niliwapigia simu na wakaniambia bado, sasa sijui ni kivp. kwani uni zingine kama kairuki wamesha pata admission letter zao
Tusiburi tu mda wenyewe haugandi .. Siunajua Ud wanajipanga sana .. Kuandaa kitu best ..#Pamoja
poa poa. tusubiri. lakini nina doubts kwamba kuna sumthng fishy.
sawa zipo. lakini wamesha anza kuzitoa. kwani mtandao yetu ya bonga na ile ya ud ni bom. kwao wanasema watatuarifu kwenya website yao lakini.,,, ahhhh bado tu. !!!!!!!!!!1Worry out mkuu,admission letters zipo tena kama hauna pupa vuta subira utazikuta chuoni zipo kibaooo
sawa zipo. lakini wamesha anza kuzitoa. kwani mtandao yetu ya bonga na ile ya ud ni bom. kwao wanasema watatuarifu kwenya website yao lakini.,,, ahhhh bado tu. !!!!!!!!!!1