Abdillahjr
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 694
- 319
Mkuu sikuzote biashara hutegemea na mtu maana biashara zote zinalipa, ial pia sio kila biashara ni kwa kila mtu, sasa wewe tuambia unauzoefu na kitu, au una ujuzi gani, au unapenda nini. Tutaanzia hapo kukushauriWakuu heshima kwenu,
Nina cash 10 million tshs,naombeni mnisaidie wazo la biashara,nitashukuru mawazo na mchanganuo wenu,nipo tayari kufanya hiyo biashara kuanzia mwezi huu na mkoa wowote.
soma hapa itakusaidia https://www.jamiiforums.com/busines...mia-kupata-wazo-bora-kabisa-la-bishara-3.htmlWakuu heshima kwenu,
Nina cash 10 million tshs,naombeni mnisaidie wazo la biashara,nitashukuru mawazo na mchanganuo wenu,nipo tayari kufanya hiyo biashara kuanzia mwezi huu na mkoa wowote.
Jaribu u-promotor hasa wa masumbwi au wasanii wa bongo flava. Unachukua wasanii wenye vimajina wanaenda kufanya shoo huko mawilayani.
Inalipa sana hii biashara. Milioni 10 inatosha kabisa.
Mkuu sikuzote biashara hutegemea na mtu maana biashara zote zinalipa, ial pia sio kila biashara ni kwa kila mtu, sasa wewe tuambia unauzoefu na kitu, au una ujuzi gani, au unapenda nini. Tutaanzia hapo kukushauri
njoo huku nilipo nunua ng'ombe kwa laki tatu hadi nne mnenepeshe kwa miezi miwili peleka pugu kauze kwa laki nane na zaidi. Gharama ya kunenepesha ng'ombe mmoja ni laki na nusu. Usafiri ng'ombe mmoja ni elfu 30000. Ananenepeshwa kwa kutumia mashudu ya pamba
njoo huku nilipo nunua ng'ombe kwa laki tatu hadi nne mnenepeshe kwa miezi miwili peleka pugu kauze kwa laki nane na zaidi. Gharama ya kunenepesha ng'ombe mmoja ni laki na nusu. Usafiri ng'ombe mmoja ni elfu 30000. Ananenepeshwa kwa kutumia mashudu ya pamba
Hapo kwenye red inaonesha umeshagundua chanzo cha kushindwa mara ya kwanza kwa nini usiboreshe uendelee na hiyo biashara maana unauzoefu tayariNina elimu ya chuo lakini sipendelei kuajiriwa,nimeshawahi kuzngua biashara ya kusambaza vitu kwenye hoteli za kitalii ila usimamizi na udogo wa mtaji vikaniangusha lakini sasa nimejifunza vya kutosha.
Na mwisho kabisa amefanya kazi kwenye kampuni ya ununuzi na uuzaji wa madini na ninaongea kwa ufasaha lugha tatu za kimataifa
Hapo kwenye red inaonesha umeshagundua chanzo cha kushindwa mara ya kwanza kwa nini usiboreshe uendelee na hiyo biashara maana unauzoefu tayari
njoo huku nilipo nunua ng'ombe kwa laki tatu hadi nne mnenepeshe kwa miezi miwili peleka pugu kauze kwa laki nane na zaidi. Gharama ya kunenepesha ng'ombe mmoja ni laki na nusu. Usafiri ng'ombe mmoja ni elfu 30000. Ananenepeshwa kwa kutumia mashudu ya pamba
Uko wapi mkuu?
Yuko mitaa ya Mwanza/Shinyanga/Simiu/geita, huko ndiko iliko pamba.
Kwa hiyo nikimnunua ng'ombe namkalisha tena huko Mwanza/Shinyanga/Simiu/geita ili anenepe?
Kabisa,
Huku Bongo majani utakatia ng`ombe 30 wa kienyeji utaweza?