araway JF-Expert Member Joined Sep 26, 2007 Posts 534 Reaction score 144 Sep 2, 2013 #21 hekimatele said: araway uko mitaa gani? Click to expand... simiyu mkuu~
Power G JF-Expert Member Joined Apr 20, 2011 Posts 3,884 Reaction score 1,198 Sep 2, 2013 #22 Safari_ni_Safari said: Kwa hiyo nikimnunua ng'ombe namkalisha tena huko Mwanza/Shinyanga/Simiu/geita ili anenepe? Click to expand... Wasi wasi wangu ni kwamba utamnenepesha, lakini safari mpaka afike Pugu atakuwa amekonda tena!
Safari_ni_Safari said: Kwa hiyo nikimnunua ng'ombe namkalisha tena huko Mwanza/Shinyanga/Simiu/geita ili anenepe? Click to expand... Wasi wasi wangu ni kwamba utamnenepesha, lakini safari mpaka afike Pugu atakuwa amekonda tena!
M Malila JF-Expert Member Joined Dec 22, 2007 Posts 5,329 Reaction score 5,024 Sep 2, 2013 #23 Safari_ni_Safari said: HA HA HAA...........nina vijiheka kule Bagamoyo bana Click to expand... Kama una eneo la ukubwa wa eka zaidi ya 100 huko Baga,basi unaweza kufanya hii biashara,sharti inabidi na majirani zako wawe na mapori,vinginevyo utazua balaa na majirani.
Safari_ni_Safari said: HA HA HAA...........nina vijiheka kule Bagamoyo bana Click to expand... Kama una eneo la ukubwa wa eka zaidi ya 100 huko Baga,basi unaweza kufanya hii biashara,sharti inabidi na majirani zako wawe na mapori,vinginevyo utazua balaa na majirani.