Maelezo ya Mbowe yanathibitisha Zitto Zuberi Kabwe ni Kiongozi mwenye Karama, Ndani ya miaka 20 Zitto amefanya ambayo Mbowe kashindwa kwa miaka 33!

Maelezo ya Mbowe yanathibitisha Zitto Zuberi Kabwe ni Kiongozi mwenye Karama, Ndani ya miaka 20 Zitto amefanya ambayo Mbowe kashindwa kwa miaka 33!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Yesu Kristo aliishi kwa miaka 33 umri ambao Mbowe kaishi ndani ya CHADEMA

Ni sawa Mbowe alikuwepo wakati Tuntemeke Sanga anaasisi CHADEMA lakini hakuwa miongoni mwa wale Mitume 6 wa CHADEMA

Kwanini Zitto Kabwe ni Kiongozi makini:

1. Aliletwa CHADEMA na Freeman Mbowe akitokea Udsm

2.Akawa Mwenyekiti wa Bavicha kama Mbowe na baadae Naibu Katibu Mkuu

3.Amekuwa Mbunge na mwenyekiti wa kamati nyeti ya PAC

4. Akatoka CHADEMA na kuasisi ACT Wazalendo akawa Kiongozi Mkuu

5. Amestaafu kwa mujibu wa Katiba yao na Sasa ni Mshauri wa Chama

Zitto Kabwe amepata mafanikio yote Ndani ya miaka 20 ya Uenyekiti wa Mbowe CHADEMA lakini Freeman huu ni mwaka wa 34 bado anasotea mafanikio kwa sababu chama chake kina Mbunge mmoja tu sawa na CUF

Ndoto ya Mbowe ni kuunda Serikali ya Mseto na CCM kama ACT Wazalendo kule Zanzibar lakini Wassira alishasema Mbowe anajidanganya Bure

Jumaa Mubarak 😀
 
Yesu Kristo aliishi kwa miaka 33 umri ambao Mbowe kaishi ndani ya CHADEMA

Ni sawa Mbowe alikuwepo wakati Tuntemeke Sanga anaasisi CHADEMA lakini hakuwa miongoni mwa wale Mitume 6 wa CHADEMA

Kwanini Zitto Kabwe ni Kiongozi makini:

1. Aliletwa CHADEMA na Freeman Mbowe akitokea Udsm

2.Akawa Mwenyekiti wa Bavicha kama Mbowe na baadae Naibu Katibu Mkuu

3.Amekuwa Mbunge na mwenyekiti wa kamati nyeti ya PAC

4. Akatoka CHADEMA na kuasisi ACT Wazalendo akawa Kiongozi Mkuu

5. Amestaafu kwa mujibu wa Katiba yao na Sasa ni Mshauri wa Chama

Zitto Kabwe amepata mafanikio yote Ndani ya miaka 20 ya Uenyekiti wa Mbowe CHADEMA lakini Freeman huu ni mwaka wa 34 bado anasotea mafanikio kwa sababu chama chake kina Mbunge mmoja tu sawa na CUF

Ndoto ya Mbowe ni kuunda Serikali ya Mseto na CCM kama ACT Wazalendo kule Zanzibar lakini Wassira alishasema Mbowe anajidanganya Bure

Jumaa Mubarak 😀
Anataka uwazi mkuu wa maridhiano kitu ambacho hakipo.
 
Back
Top Bottom