Maelfu ya wanamgambo wa Boko Haram wajisalimisha Nigeria

Hawa watu ni wa ovyo sana,wameua watu wengi sana,wamebaka,wameporwa mali n.k. kwa kutumia dini,eti sasa wanajisalimisha!

Wanyongwe tu au kufungwa maisha maana hawana tofauti na shetani ibilisi
Hawa ndio waabudu shetani watiifu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…