Maendeleo ya Ali Kiba toka tuzo za KTMA mpaka sasa (nowadays) ni yepi?

Maendeleo ya Ali Kiba toka tuzo za KTMA mpaka sasa (nowadays) ni yepi?

Carbondioxide

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
733
Reaction score
195
Kama Kichwa cha habari kinavyosema,tangu aongoze Ali Kiba kwenye Tuzo za KTMA yepi Maendeleo take kimuziki na life lake kiujumla kama The Return of The King?
PEN-DOWN NOW.
 
Kama Kichwa cha habari kinavyosema,tangu aongoze Ali Kiba kwenye Tuzo za KTMA yepi Maendeleo take kimuziki na life lake kiujumla kama The Return of The King?
PEN-DOWN NOW.
Faida kubwa kuliko zote alizozipata ni kukipata kale ka kidoti, zaidi ya hapo hana mafanikio yoyote zaidi ya kupiga shoo za bure kwa akina wema na jide. Mafanikio ya mali hata Mose iyobo dancer wa DIAMOND yuko juu kuliko huyu.
 
attachment.php
 

Attachments

  • Kiba.jpg
    Kiba.jpg
    39.2 KB · Views: 905
Faida kubwa kuliko zote alizozipata ni kukipata kale ka kidoti, zaidi ya hapo hana mafanikio yoyote zaidi ya kupiga shoo za bure kwa akina wema na jide. Mafanikio ya mali hata Mose iyobo dancer wa DIAMOND yuko juu kuliko huyu.
We jamaa bwana yani maisha ya instagram yanawadanganya sana et moseiyobo na kiba mbona jux yupo vizuri ay ila ushawahi ona sijui ka post gari au nyumba don't take it serious instagram life
 
We jamaa bwana yani maisha ya instagram yanawadanganya sana et moseiyobo na kiba mbona jux yupo vizuri ay ila ushawahi ona sijui ka post gari au nyumba don't take it serious instagram life
Naona nilipo upo, basi sawa mimi siandiki kitu nisichokijua na nilichokiandika sijakitoa instagram au labda nikuulize unajua mimi ni nani hadi udhani naitegemea ig kama chanzo changu cha habari ?????
 
Naona nilipo upo, basi sawa mimi siandiki kitu nisichokijua na nilichokiandika sijakitoa instagram au labda nikuulize unajua mimi ni nani hadi udhani naitegemea ig kama chanzo changu cha habari ?????
Sikujui sitaki nikijue sitaki unijue ila nimekuuliza tu kujibu unazunguka mbuyu haha daa mngejua maisha halisi ya huyo jamaa wenu na shigongo sema maigizo ya instagram na magazeti yanawazuzu btw peace mkuu
 
Sikujui sitaki nikijue sitaki unijue ila nimekuuliza tu kujibu unazunguka mbuyu haha daa mngejua maisha halisi ya huyo jamaa wenu na shigongo sema maigizo ya instagram na magazeti yanawazuzu btw peace mkuu
Shigongo naye ana maisha magumu? Naona tangu cyber crime law ipite amepunguza udhalilishaji katika magazeti yake.
 
Sikujui sitaki nikijue sitaki unijue ila nimekuuliza tu kujibu unazunguka mbuyu haha daa mngejua maisha halisi ya huyo jamaa wenu na shigongo sema maigizo ya instagram na magazeti yanawazuzu btw peace mkuu
Acha kujifanya unawajua watu wewe wakati huwajui....
 
Kwan hajalamba tuzo ile aliyokuwa anashindania na priyaka chopra?
 
Back
Top Bottom