Maendeleo ya Utandawazi mwiba kwa baadhi ya viongozi wa dini na Kiserikali

Maendeleo ya Utandawazi mwiba kwa baadhi ya viongozi wa dini na Kiserikali

realMamy

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2024
Posts
3,925
Reaction score
8,853
Sasa hizi ni kawaida kwa matukio kuchukuliwa na vifaa mbalimbali ikiwamo Simu.

Kibaya zaidi hata uongee mazuri kiasi gani watu watatoka na baya moja tu.

Umakini unahitajika katika kipindi hiki ambacho kila mtu ni Mwanahabari.
 
Back
Top Bottom