thinks b4 speak
Senior Member
- Nov 23, 2017
- 142
- 121
Nawasalimu wote
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.
Week iliyopita nilimsikia waziri mkuu wa tanzania akieleza nia yake ya dhati katika kuboresha zao la kahawa na kuakikisha linawanufaisha wakulima
Na kitu alichokisisitiza ni kutaka kurudisha vyama vya ushirika ndio wawe wana deal na uchakataji wa kahawa mbivu na uuzwaji wa kahawa hiyo ili kuakikisha mkulima anafaidika.
Malengo ya waziri mkuu ni mazuri kabisa but inabidi afanye utafiti zaidi na aelewe kwamba zao la kahawa lina process defu sana mpaka kufikia kupata kahawa iliyobora sio kama zao la korosho ambalo haliitaji gharama kubwa baada ya kuvunwa
kahawa upata bei nzuri kama imeandaliwa kwa kufuata taratibu zote ambazo zinapelekea kupata certificate either RFA au CAFE ambayo inampa mzalishaji access ya kuuza kwa premium price katika soko la dunia
Upataji wa kahawa yenye viwango vya kimataifa inaitaji gharama kubwa sana
Na gharama hizo uamzia katika kutoa elimu kwa mkulima jinsi ya kuandaa kahawa bora,uchakataji wa kahawa hiyo ambayo inapelekea ongezeko la gharama kwa zaidi ya asilimia 40% mpaka inapelekwa ghalani na hizo ni primary cost kuna other like milling,trasport so on.
Nilikuwa natafakari serikali wamejiandaa vipi katika kufanikisha mabadiliko makubwa hivyo ya mfumo wa zao la kahawa
Ngoja nizungumzie why vyama vya ushirika vinashindwa kufanya vizuri katika kahawa
Kwa kiasi kubwa ushirika unafell kucompite na private company kutokana uongozi mbovu wa ushirika
Wakulima wanazulumiwa sana na kudanganywa kwa kiasi kikubwa sana
Kwanini nasema hivyo.
Miaka kama minne nyuma kulitokea uwizi wa kahawa za vikundi vya ushirika MCCO(mbinga cooperative milling) ambapo kwa taarifa zilizozagaa kwa kipindi hicho sikumoja kontena zaidi ya mbili ft 40 zilipakiliwa usiku wa manane na kutokomea kusiko julikana kwa araka haraka ni zaidi ya gunia 1200 za clean coffee zilipotea but hizo ishu zinaimwa kimya kimya
Vile vile Wakati wa ukoboaji kahawa zinaibwa sana paka kupelekea lot moja ya kahawa kuwa na curing loss 40% hadi 45% ambayo ni wizi mkubwa sana ambapo normal inatakiwa icheze 17% to 20% losses
Hii hali inapelekea ushirika kushindwa kulipa malipo ya pili na wakulima na kuona ushirika sio sehemu sahihi ya kupeleka kahawa zao
Haya mambo almashauri wanayajua but inavyoonekana wanashirikishwa ndio maana wanakaa kimya
Kwa Ushauri wangu
Haya mambo yasichukuliwe kisiasa zaidi but namshauri waziri mkuu akutane na wadau wa kahawa na kuzungumza nao ili kupata njia iliyokuwa bora.
Kwenye korosho iliwezekana ila tukitaka kufanikiwa kwenye kahawa inaitaji umakini mkubwa sana
Mwaka jana TCB walikuja na mfumo mzuri sana wa makampuni kupewa bei elekezi ya kahawa za mitamboni na kahawa za majumbani na walifanikiwa sana kuna haja ya kupaendeleza hapo
Nawasilisha mkulima wa kahawa mbinga
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.
Week iliyopita nilimsikia waziri mkuu wa tanzania akieleza nia yake ya dhati katika kuboresha zao la kahawa na kuakikisha linawanufaisha wakulima
Na kitu alichokisisitiza ni kutaka kurudisha vyama vya ushirika ndio wawe wana deal na uchakataji wa kahawa mbivu na uuzwaji wa kahawa hiyo ili kuakikisha mkulima anafaidika.
Malengo ya waziri mkuu ni mazuri kabisa but inabidi afanye utafiti zaidi na aelewe kwamba zao la kahawa lina process defu sana mpaka kufikia kupata kahawa iliyobora sio kama zao la korosho ambalo haliitaji gharama kubwa baada ya kuvunwa
kahawa upata bei nzuri kama imeandaliwa kwa kufuata taratibu zote ambazo zinapelekea kupata certificate either RFA au CAFE ambayo inampa mzalishaji access ya kuuza kwa premium price katika soko la dunia
Upataji wa kahawa yenye viwango vya kimataifa inaitaji gharama kubwa sana
Na gharama hizo uamzia katika kutoa elimu kwa mkulima jinsi ya kuandaa kahawa bora,uchakataji wa kahawa hiyo ambayo inapelekea ongezeko la gharama kwa zaidi ya asilimia 40% mpaka inapelekwa ghalani na hizo ni primary cost kuna other like milling,trasport so on.
Nilikuwa natafakari serikali wamejiandaa vipi katika kufanikisha mabadiliko makubwa hivyo ya mfumo wa zao la kahawa
Ngoja nizungumzie why vyama vya ushirika vinashindwa kufanya vizuri katika kahawa
Kwa kiasi kubwa ushirika unafell kucompite na private company kutokana uongozi mbovu wa ushirika
Wakulima wanazulumiwa sana na kudanganywa kwa kiasi kikubwa sana
Kwanini nasema hivyo.
Miaka kama minne nyuma kulitokea uwizi wa kahawa za vikundi vya ushirika MCCO(mbinga cooperative milling) ambapo kwa taarifa zilizozagaa kwa kipindi hicho sikumoja kontena zaidi ya mbili ft 40 zilipakiliwa usiku wa manane na kutokomea kusiko julikana kwa araka haraka ni zaidi ya gunia 1200 za clean coffee zilipotea but hizo ishu zinaimwa kimya kimya
Vile vile Wakati wa ukoboaji kahawa zinaibwa sana paka kupelekea lot moja ya kahawa kuwa na curing loss 40% hadi 45% ambayo ni wizi mkubwa sana ambapo normal inatakiwa icheze 17% to 20% losses
Hii hali inapelekea ushirika kushindwa kulipa malipo ya pili na wakulima na kuona ushirika sio sehemu sahihi ya kupeleka kahawa zao
Haya mambo almashauri wanayajua but inavyoonekana wanashirikishwa ndio maana wanakaa kimya
Kwa Ushauri wangu
Haya mambo yasichukuliwe kisiasa zaidi but namshauri waziri mkuu akutane na wadau wa kahawa na kuzungumza nao ili kupata njia iliyokuwa bora.
Kwenye korosho iliwezekana ila tukitaka kufanikiwa kwenye kahawa inaitaji umakini mkubwa sana
Mwaka jana TCB walikuja na mfumo mzuri sana wa makampuni kupewa bei elekezi ya kahawa za mitamboni na kahawa za majumbani na walifanikiwa sana kuna haja ya kupaendeleza hapo
Nawasilisha mkulima wa kahawa mbinga