alextechs New Member Joined Apr 26, 2017 Posts 1 Reaction score 0 Sep 30, 2024 #1 Naomba mnishauri ni maeneo gani hapa Dar yanafaa kuanzisha biashara ya nafaka na mafuta ya kupikia kwa jumla na Rejareja? Nimepata mtaji 10M nataka nianzishe store ya kuuza nafaka but naomba ushauri kujua ni maeneo gani yanafaa zaidi kwa hapa Dar.
Naomba mnishauri ni maeneo gani hapa Dar yanafaa kuanzisha biashara ya nafaka na mafuta ya kupikia kwa jumla na Rejareja? Nimepata mtaji 10M nataka nianzishe store ya kuuza nafaka but naomba ushauri kujua ni maeneo gani yanafaa zaidi kwa hapa Dar.