Maeneo gani hapa Dar yanafaa kwa biashara ya nafaka na mafuta ya kupikia

Maeneo gani hapa Dar yanafaa kwa biashara ya nafaka na mafuta ya kupikia

alextechs

New Member
Joined
Apr 26, 2017
Posts
1
Reaction score
0
Naomba mnishauri ni maeneo gani hapa Dar yanafaa kuanzisha biashara ya nafaka na mafuta ya kupikia kwa jumla na Rejareja?

Nimepata mtaji 10M nataka nianzishe store ya kuuza nafaka but naomba ushauri kujua ni maeneo gani yanafaa zaidi kwa hapa Dar.
 
Back
Top Bottom