Mtukutu Mkuu
JF-Expert Member
- Jul 10, 2022
- 1,117
- 1,403
Wanachaji kiasi Gan mzeeNI BOOORAAA UEDE GARIAGOO GULE UTADAGUA NA SIPIDIIIII MAHANA ZIBO ZINGI
Hivi Kuna haya mambo siku hizi kwanini usinunue computer yakoHabari za muda wazee Hivi Hapa dar es salaam maeneo ya Gongolamboto Mpaka Huku Banana Kuna Sehemu yeyote Kuna internet Cafe Nakama ipo Kushusha file nzito almost Gb 20-30 wanachaji kiasi gani
Naomba kujua Wadau
Natangaluza shukrani
Wasaalam [emoji120]
sijazungumzia compyuta mzee Nachoomaanssha internet Cafe (unlimited data)Hivi Kuna haya mambo siku hizi kwanini usinunue computer yako
Bando Gan Kwa 20 wanatoa Hizo GB 20 ndugu20GB nalo ni file zito kweli mboana hata kwa bando la 20 au 30 unashusha tu hilo.
Au tafuta Guest house yenye internet ukalalepo kabisa ujishushie na mafile mengine.
Bando za SME hazitakua exact hiyo ila zitakaribia sana hapo.Bando Gan Kwa 20 wanatoa Hizo GB 20 ndugu
Natumia Halotel hizi line za CUG Special for Internet tu hazipigi simu wala sms.. napata GB18 kwa 15,000. na kifurushi cha chini ni 5000 unapata GB 4 so Ukijumlisha hizo mbili unakua jumla na GB22 kwa 20,000/- tu.Bando Gan Kwa 20 wanatoa Hizo GB 20 ndugu
Halotel special offer hata Mimi ninayo ila bado haifai Kuna file Kubwa almost gb 45 -55 Ndo maana naitafuta unlimited nishushe Hizo file zanguNatumia Halotel hizi line za CUG Special for Internet tu hazipigi simu wala sms.. napata GB18 kwa 15,000. na kifurushi cha chini ni 5000 unapata GB 4 so Ukijumlisha hizo mbili unakua jumla na GB22 kwa 20,000/- tu.