floow
JF-Expert Member
- Mar 20, 2017
- 411
- 855
Habar wakuu
Wiki 3 zilizopita nimeweza kufungua biashara ya miamala ya pesa (tigo pesa&m pesa) matarajio yangu ni angalau kwa mwez iniingizie si chini ya 50,0000 kwa mwezi
Kabla ya kumuweka mtu Wa kumuajili
Nimeamua nikae mwenyewe ili kuangalia upepo Wa mazingira na jinsi miamala inavyo fanyika..
Miamala haiend ,kwa wiki 3 nilizokaa nimegundua nafanya miamala ya Tigo inayo niingizia 4000 kwa siku na miamala ya VODA inayo niingizia 2500 kwa siku...
Mtaji nilioweka ni mil 1:5 lakini kwa wiki 3 nilizo kaa naona pesa inayo zunguka ni lak 3 pekee
Naombeni mnishauli juu ya hii sehemu ya biashara ,,
Nihame mapema ili nitafute sehemu nyingine au nivumilie kidogo
NB Ofisi inahamishika ,sijapanga frame...nime weka BANDA ..
Wiki 3 zilizopita nimeweza kufungua biashara ya miamala ya pesa (tigo pesa&m pesa) matarajio yangu ni angalau kwa mwez iniingizie si chini ya 50,0000 kwa mwezi
Kabla ya kumuweka mtu Wa kumuajili
Nimeamua nikae mwenyewe ili kuangalia upepo Wa mazingira na jinsi miamala inavyo fanyika..
Miamala haiend ,kwa wiki 3 nilizokaa nimegundua nafanya miamala ya Tigo inayo niingizia 4000 kwa siku na miamala ya VODA inayo niingizia 2500 kwa siku...
Mtaji nilioweka ni mil 1:5 lakini kwa wiki 3 nilizo kaa naona pesa inayo zunguka ni lak 3 pekee
Naombeni mnishauli juu ya hii sehemu ya biashara ,,
Nihame mapema ili nitafute sehemu nyingine au nivumilie kidogo
NB Ofisi inahamishika ,sijapanga frame...nime weka BANDA ..