Financial Analyst
JF-Expert Member
- Nov 27, 2017
- 1,849
- 3,506
ahsante mkuu,Nenda kishiri huko Kiseke
ahsante boss, naona pia population ni kubwa kule..Igoma pako poa sana
Nenda chattleNa mm nasubiri maoni ya wadau
Dah kweli usilolijua ni usiku wa gizaMaeneo ambayo bado watu wanajenga yatakua mazuri sana kwa hiyo kitu.
Onyo usije ukafungua mabatini, masikini ni wengi sana. Labda uuze uji na karanga za mia mia.
ahsante bossNenda Buzuruga au Pasiansi mwingiliano ni mkubwa. Ila kama una uwezo fanya city center penyewe sababu kodi itamezwa na faida.
ahsante, mwanzoni nilipaigopa eti ni mbali sana kumbe kuna centre imeshakuwa huko...Buhongwa kuna centre kubwa tu ya biashara. Na watu ni wengi haswaa
dah hahaNenda chattle
Ile ni jamhuri na mm sina paspoti ya kwendea hukoNenda chattle