Kigamboni ni kubwa Sana asee. Kuna sehemu hata baskeli haipiti
Kikawaida majina mara nyingi hukupa picha ya eneo kabla hujafika!
Ila nilicho-note ni kwamba sehemu zenye majina ya kizungu au linalovutia huwa za kishua by nature (Masaki, Mikocheni, Sea View, Oysterbay) ila jina likiwa la kiswahili ogopa sana! Pata picha jina kama Njiayang'ombe, Kwafundi Redio, Kwatumbo, Kigogo, daaah [emoji23][emoji23]
Hii ni Tabutupu! Yaani sinza kwa vibaka ni kwa kishua?! Juzijuzi tu hapa nimeibiwa ndala Sinza!