Maeno "will" na "may" hayana maana sawa kisheria. Mwanasheria alipitiwa.

Maeno "will" na "may" hayana maana sawa kisheria. Mwanasheria alipitiwa.

mumburya

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2012
Posts
321
Reaction score
448
1688700161326.png
 
Mwanasheria yyeye alisema maneno hayo yanafanana?

Mbona hilo siyo suala la kisheria?!

Hata kwa kiingereza cha darasa la sita tu tofauti ya maneno "will" na "shall" inafahamika kama ilivyoelezwa kwenye uzi wako!!?
 
Masilahi ya Tanzania hayawezi kufichwa kwenye maneno ya will and Shall
 
Back
Top Bottom