Mafanikio ya lugha ya Kiswahili

Joined
Apr 28, 2013
Posts
7
Reaction score
0
Imekuwa ni kawaida kuona nchi nyingi duniani zkianzisha shule mbalimbali za kufundisha lugha zao, mf. China, Japan, Russia na Spain. Kiswahil kikiwa moja ya lugha zinazokua duniani, kuna nchi ngapi ambapo kuna shule za kitanzania ambazo zinafundisha kiswahili kama njia ya kuendeleza lugha yetu! Na kama hamna tatizo ni nini? Majibu tafadhali
 
Watanzania wakidharau Kiswhili na sina hakika kama kuna shule maalum ya kufundisha kiswahili ili kukikuza na kukiendeleza.
 
Twapaswa tuamke! Hii itakuwa moja ya incentives za uwekezaji maana watu wengi duniani wana hamu ya kujifunza kiswahili
 
Hii ni hayana tunatawaliwa kuanzia kiuchumi Hadi kiutamaduni,iko kazi watanzania tunabidi tuinuke tufanye kweli tuinue nchi yetu.LUGHA NI KITAMBULISHO CHA JAMII
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…