Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Hakuna Mungu wa kweli anayeweza kumbariki. Kashika msahafu na kusema atailinda na kuifuata katiba kisha mwisho akasema "Mungu nisaidie" halafu hata mwezi haujaisha anaivunja hiyo katiba kwa kuzuia shughuli za kiraia na kisiasa zinazoruhusiwa na katiba hiyo hiyo, sasa hivyo si dharau na dhihaka kwa Mungu. Kwanini uape kwa jina la Mungu halafu unafanya kinyume chake. Wenzake anaweka ndani kisa eti gari halafu yeye anakwenda kanisani. Hiyo ni unafiki kama masadukayo na makuhani wa wakati wa Yesu kutaka waonekane watakatifu kumbe ni kinyume chake. Mungu hadhihakiwi!
 
Ni muongo mkubwa huyu. Uongo kila kukicha.


 
1. Ambulance zile za bandarini zisizo na mwenyewe... Zimegawiwa... KIMOJA KIPO MAKETE HUKO
2. Vichwa vya matreni yasiyo na mwenyewe... Ghafra yalipata mwenyewe....
3. Ndege tumelipa $38M baada ya wale jamaa kutinga Marekani kutaka kuidaka na boeing....

Haya ni baadhi ya majibu
 
Reactions: BAK
Nimetype kama page tatu kukujibu nikafuta
 
Watu 8 kati ya 10 wsnataka kumhoji ila hahojiki
 
Reactions: BAK
Utamuhoji dhalimu Mkuu!? Kwanza atakudhalilisha aanze kicheko chake kule cha kinafiki kisha na swali hajibu. Wanafiki ndivyo walivyo Mkuu!

Watu 8 kati ya 10 wsnataka kumhoji ila hahojiki
 
Hizi post za kutafutiana BAN tu. Sasa kama anafanya yote hayo inamaana sie watanzania tumekua vipofu, viziwi na wajinga kiasi cha kushindwa kabisa kuyaona mazuri yote uliyoyaandika?

Kama wote tupo nchi moja, hatuwezi kujidanganya kuhusu hali halisi.
 
Reactions: BAK
Kwani wewe ni msemaji wa wanaoona hiyo kazi? Si unyamaze kila mtu aendelee kuona kivyake!!!!
Nyie ndo wale mnaowasimulia watu movie wakati inaendelea na mnaangalia wote
 
You r right maana hakuna mauaji tena au utekaji wa watu unaofanywa na wasiojulikana. Na hata wAaliomuua acqui tayari wako mahabusu. Hakika wewe unafaa kuwa dc
 
Hahahahahaaaaa.
Nimesoma tu hii aya nimeacha

''Rais wetu Ni Rais mzuri Sana ambaye hayupo ktk kizazi cha sasa na wala hakuna wamfano wake kwa sasa Africa na uwenda hata duniani."
Majinga majinga kama haya hata huko Uganda wakati wa Idd Amin yalikuwapo
 
Mkuu wanadhani Watanzania wote ni MAZWAZWA kama wale wanaowasujudia pale lumumba na wachumia tumbo, “Nimeamua kurudi CCM kuunga mkono utendaji wa nanihii” Seriously!? 😱😱😱

Hizi post za kutafutiana BAN tu. Sasa kama anafanya yote hayo inamaana sie watanzania tumekua vipofu, viziwi na wajinga kiasi cha kushindwa kabisa kuyaona mazuri yote uliyoyaandika?

Kama wote tupo nchi moja, hatuwezi kujidanganya kuhusu hali halisi.
 
Yale ya Idd Amini kumuua waziri wake wa fedha kwa bastola,risasi ya mdomoni, baada ya kusema ukweli hazina hali mbaya, Tunaanza kushuhudia wasomi wataalam wetu wakikana na kubadili taarifa zao kisa mfalme hajafurahishwa nazo!
 

Mh. Rais pale alipofanya vizuri apewe pongezi zake, mikakati yake ya maendeleo haipaswi kubezwa. Ingawa sio kinga ya yeye kutonyooshewa kidole.

Kupima uelewa wako hebu tutajie japo marais 10 tu unaowafahamu africa, watano amerika ya kusini, na watatu Asia ya kusini na japo mmoja tu visiwa vya Carribean na sifa zao kidogo. Hizi sehemu zina nchi zilizoko ulimwengu wa tatu au zinazoendelea hivyo tuna sifa zenye mfanano kidogo kiuchumi.
 

Katiwe dole la mk.... usilete upupu hapa. bwege wewe
 
Kama hujalogwa basi utakuwa umezaliwa na matatizo mazito sana !
 
Mchumia tumbo wa lumumba ivi adi asaivi muhutu amekamilisha viwanda vingapi vya kwake zaidi ya kiki za kipumbavu
Amefanya mangapi ndani ya miaka miwili? huna hata soni kuuliza viwanda vingapi leo, wewe ndani ya hii miaka miwili kama wewe umefanya nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…