Kilemakyaaro
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 5,051
- 5,104
We Siku zako za kuenjoy bongoland zinahesabika tutakurudisha kwenu Rwanda ukapambane na interahamweKuna uzi kuhusu wafanyakazi wa Air Tanzania wanavyoacha mizigo ya abiria Bukoba ili wapandishe Samaki za kwenda Dar. Halafu ni ndege ya asubuhi.. halafu mizigo yao inapelekwa Mwanza jioni na Precision Air.. watalii wakizungu wageni na waliokuwa wanaenda Serengeti walikwama kwa kusubiri mizigo tangu asubuhi..
Nimesechi hata siuoni ulirushwa juzi humu.. aliyeuona ni tag basi..
We Siku zako za kuenjoy bongoland zinahesabika tutakurudisha kwenu Rwanda ukapambane na interahamwe
Mimi xaxa naishi kwa amani kwani mungu ametuletea mtu sahihi nahatimaye naamini atashinda kwani yeyote afanyaye mazuri mungu humuongoza. Kazana baba kwan Taifa letu linakuhitaji
Kumbe kuwateka kunasaidiaSisi watu toka Asia, hapana puuzie kazi gumu anafania Magufuli,
Ni rais Nzuri sana,
Uchumi umeimarika mara dufu,
Uzalishaji umeongezeka sana,
Benki ya dunia inaibembeleza Tanzania tukope
Hahahaha , Huyo gabachori amuunge Tu yeye mkono inatosha! Mae chezea kutekwa Na kukalia kitu chenye ncha Kali..mtamuunga mpaka shingo!Kumb kme kuwateka kunasaidia
Mpaka akili ziwarudie
Benki ya dunia inaibembeleza Tanzania tukope
Unamuunga mkono, anauvunja tena unakufaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sisi watu toka Asia, hapana puuzie kazi gumu anafania Magufuli,
Ni rais Nzuri sana,
Uchumi umeimarika mara dufu,
Uzalishaji umeongezeka sana,
Benki ya dunia inaibembeleza Tanzania tukope