Licking Wounds
JF-Expert Member
- Nov 28, 2014
- 3,979
- 5,146
Mkuu hivi inaitwa bange,bangi au kitu cha arusha!Acha Bange
Ata wewe ujielewi kama jina lakoSerikali ya jk ilijaa ufisadi sana watu wakasema bora aje mkali ambaye siyo legelege
Sasa huyu kaja kwa style ya kuteka watu na kuwapoteza kabisa lakini bado mnalalamika. Sasa nyinyi mnataka mtu gani? Mbona hamna shukrani?