Vyovyote tu muhimu kubangua.Wafungwa wanabangua korosho kwa meno
Fafanua unamaanisha wakulima kutapeliwa sio matatizo ya watu?Hahaha yaani mwaka wa tatu huu raisi badala adeal na matatizo ya tanzania ye kila siku anataka watu waishi kama mashetani
Raisi kajifungia ndani alafu anataka wawekezaji waje na hela za knigeni....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
2015 mlifanya mistake
Utajua siku utakapo ingia 18 za serikaliWafungwa wanabangua korosho kwa meno
Wewe una uhakika ungeweza?Jamaa ni bonge la failure
Me sio kuwadi me mwananchi Kama wewe kwenye nchi yangu me sio mkimbizi.sawa?Ubwabwa bokoboko kwa kiherehere cha mpishi. Tuliza basi utambi uandike kitu chenye kueleweka bwana kuwadi
Alishindwa ticha enzi za wajinga, Jamaa yako ataweza enzi za dotcomAna block mashimo yote ya kupiga hela.anazingatia kanuni vizuri.anatumia jeshi vizuri kudhibiti upigaji.popote pale ambapo Kuna udanganyifu Magufuli anapatia hofu.msukumo mkubwa haupo kwa wananchi wazuri wachapakazi was taifa Bali upo kwa viongozi wa taasisi ikiwemo mawaziri.kila sehemu hakika panafuka Moto au sio.ole wako uibe ukikatwa msala wake kwanza utakaa rumande na baadaye ukajionee jela.tahadhari hii natoa mpaka kwa Wana jf ambao mnavunja sheria.jeshi la magereza wame wameli reform ukifungwa unalima.kwa hiyo Ni kiwewe kwa wapiga deal.tupo na nyakati muhimu Sana kwenye hii Vita ya kiuchumi .Ni TANZANIA pekee ndio Imeweza kuonyesha misimamo yake wa jumuiya za kimataifa na wawekezaji na imetuma ujumbe wake kwamba haitaki michezo ya kiujanja ujanja Wala deal chafu.tuiache serikali I run Mambo.wito wangu kwa Rais nakupongeza sana.umeonyesha inayopaswa kufutwa na kiongozi yoyote wa dunia.JamaniJPM anatosha atatupa utajiri.magufuli mwendo wa kazi.
SI kwa sababu tunakula vizuri hela yetu halalihivi nguvu za kumsifia huyu jamaa wenzetu mnazitoa wapi?[emoji15]
Aliyesababisha yote ni nanFafanua unamaanisha wakulima kutapeliwa sio matatizo ya watu?
Viongozi wa nyuma +watendaji dhaifuAliyesababisha yote ni nan
Kauli nyingine ni za kijinga kabisa. Hivi anayesema hela inaweza kupatikana kiujanja ujanja aeleze hapa, inapatikanaje? Unaposema watu wanaolalamika walikuwa wanapata hela kwa kupiga deal, ebu fafanua ni vipi mkulima wa mahindi anayelalamika hana pesa kwa sababu mazao yake yamekosa mnunuzi, alikuwa anapiga deal? Au mkulima zamani alipokuwa anauza mazao yake bila ya shoda na kwa bei nzuri ndoyo kupiga deal?Ana block mashimo yote ya kupiga hela.anazingatia kanuni vizuri.anatumia jeshi vizuri kudhibiti upigaji.popote pale ambapo Kuna udanganyifu Magufuli anapatia hofu.msukumo mkubwa haupo kwa wananchi wazuri wachapakazi was taifa Bali upo kwa viongozi wa taasisi ikiwemo mawaziri.kila sehemu hakika panafuka Moto au sio.ole wako uibe ukikatwa msala wake kwanza utakaa rumande na baadaye ukajionee jela.tahadhari hii natoa mpaka kwa Wana jf ambao mnavunja sheria.jeshi la magereza wame wameli reform ukifungwa unalima.kwa hiyo Ni kiwewe kwa wapiga deal.tupo na nyakati muhimu Sana kwenye hii Vita ya kiuchumi .Ni TANZANIA pekee ndio Imeweza kuonyesha misimamo yake wa jumuiya za kimataifa na wawekezaji na imetuma ujumbe wake kwamba haitaki michezo ya kiujanja ujanja Wala deal chafu.tuiache serikali I run Mambo.wito wangu kwa Rais nakupongeza sana.umeonyesha inayopaswa kufutwa na kiongozi yoyote wa dunia.JamaniJPM anatosha atatupa utajiri.magufuli mwendo wa kazi.