Kwedu Kwazu
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 504
- 71
Mtetezi na Mkombozi wa Watanzania..Kiongozi mwenye Hofu ya Mungu..Kiongozi Mwenye Nia ya Kuileta mabadiliko. Rais John Magufuli.
duuh aiseee hii safi wavaa vipedo mguu sawa!!!
Kampeni zimeisha,unajidharaulisha.
Kampeni zimeisha,unajidharaulisha.
Hakuna kulala, ndio maana Magufu tulisema ni chaguo la Mungu.
Ukawa imezikwa kitaaaaambo.