Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

WHO na nchi za magharibi wanamuiga,sembuse wewe.You are insignificant.Halafu ulivyo mjinga umri una nafasi gani katika discussion hii?Lete hoja usililete mambo yasiyo na msingi hapa.Hizo ni dalili za mtu aliyefirisika kifikra.
 

Siwezi muiga mtu aliefeli shule

Alifeli Seminary akafukuzwa

Kafeli Form Four akaenda kusomea ualimu

Kajiendeleza kisomo cha watu wazima kaenda UDSM akiwa mtu mzima wa miaka zaidi ya 28

Mimi nilifaulu kwa A tangu kindergarten mpaka postgrad

Sina chochote cha kuiga au kujifunza kwa mtu mwenye kiwango kidogo namna hiyo

Sana sana aniige mimi nina IQ mara kadhaa kumzunguka yeye na nina data to back it up!

Dunia ya leo unakaa unasema upumbavu wa eti nimetumia Malimao na Kujifukiza na kunywa mitishamba ya madagascar kujitibia corona,unatakiwa upigwe ufukuzwe kwenye hii dunia kabisa maana huna maana superstitions zako!

Nchi gani ya Magharibi imemuiga huyo bwana wako?Hivi kuna any western power even know who that guy is?
 
Hivi huwa unapitia tena huu umbumbumbu unaouandika?
 
Mkomo mtupu haulambwi,hebu tuwekee CV yako hapa.Mwenzio sasa ni gumzo la dunia,na wewe tukuone sasa angalau utuletee ka-CV uchwara.Ungekua mjanja ungejua mwenzio yuko mbali,hivi kua Rais peke yake out of almost 60 million people uchaguliwe wewe,si achievement.Wangapi wanakuwa Marais,mbona wewe hujawa.Acha husuda za kijinga wewe.
 
Hivi huwa unapitia tena huu umbumbumbu unaouandika?
Ni ajabu umeupitia wewe!

Yaani nimeuandika mimi ila mimi mwenyewe muda wa kupitia umbumbumbu wangu sina kabisa ,cha ajabu wewe una muda mchafu wa kuupitia!

You are such a fvcking loser!

Find some useful things to do with your limited time!
 
Ni ajabu umeupitia wewe!

Yaani nimeuandika mimi ila mimi mwenyewe muda wa kupitia umbumbumbu wangu sina kabisa ,cha ajabu wewe una muda mchafu wa kuupitia!

You are such a fvcking loser!

Find some useful things to do with your limited time!
Unanichokoza nikutoe baru kama ile siku!!!
 
Mkomo mtupu haulambwi,hebu tuwekee CV yako hapa
Siweki,aweke yeye
Mwenzio sasa ni gumzo la dunia,na wewe tukuone sasa angalau utuletee ka-CV uchwara.
Ni gumzo kwa all the wrong reasons,incompetencies and erratic behaviour!
Who cares?!!
Ungekua mjanja ungejua mwenzio yuko mbali,hivi kua Rais peke yake out of almost 60 million people uchaguliwe wewe,si achievement
Hakuna watu 60mil wamechagua mtu yeyote.Kura zake idadi yake ushasahau?Haifiki 2mil.
2mil ndio 60mil?Akili yako ina mavi kiasi gani?
Acha husuda za kijinga wewe.
Kumbe tunaopinga uzembe na ukoswaji wa maarifa na uongozi bora wenye viwango tuna husda?
Are you listening what your basket mouth is smoking out?
Tuna ma-loser nchi hii sijawahi ona!

Hey,yall on the casket still sleeping.You will never wake up....you are free to sleep...well,sleeping with your butt hole out!
 
Lete CV yako kama hata CV huna nyamaza.Mbona na wewe hawajakuingiza halafu upate hata angalau kura mia tano?Achani maneno yasiyo na maana,chapeni kazi tuijenge nchi yetu.Uchama,Wivu na husuda havitatusaidia sana.
 
Yaani hata CV huna,unawaita wenzio loons.Tuletee CV tujue na wewe umo,kama huna hata ka-CV uchwara nyamaza bwana usitupigie kelele.
 
Lete CV yako kama hata CV huna nyamaza.
CV ninayo,na siweki hapa.

Na uamuzi wa kutokuweka hapa hakunizuii kutoa maoni yangu nitakavyo!

Kama wewe unataka sana weka CV yako.
Case closed!
Mbona na wewe hawaja hawajakuingiza halafu upate hata kura mia tano?
Mimi sio mwanasiasa,watu wote hatuwezi kua wanasiasa.Mimi mfanyabiashara,boss wako unaempanulia domo humu tangu asubuhi hawezi kua mfanyabiashara kama mimi!

Kwavile yeye ni mwanasiasa haimaanishi ana akili kuzidi wengine ambao si wanasiasa!
Na yeye kuchaguliwa kua kiongozi haiongezi IQ yake,IQ ilikua kiwango hicho hicho tangu akiwa mdogo mpaka leo!

Ni maajabu kudhani eti kwavile fulani kachaguliwa kiongozi wa kisiasa basi IQ yake au busara yake inapanda kua bora zaidi ya wanadamu wote!

Thats nonsense you are trying to push here!
Acha maneno yasiyo na maana.
Wewe kwako maneno ya maana ni yanayomsifia mawe tu?

Tunao mkosoa anapokosea hatutoi maneno ya maana.

Kichaa hakijawahi kua gonjwa salama kabisa!
 
Habari Members :


Kuna wakati niliweka uzi ukienda kwa jina la " Mr President Magufuli "

Ukielezea kwa uchache kwamba " Ipo siku watanzania watakuja elewa maana ya maamuzi na misimamo ya rais wetu.... "

Wengi waliponda na kuniambia nitarudi kufuta kauli yangu


Lakini naomba niwakumbushe bado mambo yananendelea kufunguka pole pole na watu wanaendelea kuelewa

Tanzania na hata nje ya Tanzania


Hongera Sana Rais wetu H.E Magufuli tunakuombea mungu akuongoze na akusimamie


Asanteni Sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
HAWA NDO WALE WANAOPEWA CHUMVI NA KANGA WAKATI WA UCHAGUZI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…