Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Yani jamaa anavision moja kali sana bravo kuna kabinti dah kwa sasa nikikatext tu kanapiga zamani hata nitext na kupiga hakapoke hakajibu au kajibu kwa dharau sana "Hiiii I'm so bzy right nao I dont need disturbance"
 
Hii movie kali kwel!!;life ka paredi!!'nyuma geuka'mbele tembea!! haohaoahohaoo!! ohoo himahimaa!!;pumbafuuu
 
Siyo mtu vuguvugu bali ni aidha moto au baridi na siyo katikati, yaani aidha tunafanya au tunaacha, na siyo tunasema tunafanya halafu tunaishia njiani au tunasema hatutaki kufanya halafu tunaanza kufanya lkn siyo mpaka mwisho, kwenye hilo tu ndipo ninapomkubali!

Na wengi ambao wanapata shida kumuelewa ni watu wa vuguvugu wako kati kati siyo moto wala baridi hivyo wanakwenda na mkondo!
 
Wewe mwenzetu unayemuelewa kuhusu sisi, unaweza kunisaidia nijue alimchukulia hatua gani yule 'mtuma meseji' kutoka 'ngazi za juu' kuhusu mita ya bomba la mafuta bandarini?
 
Kasi ya Rais John Pombe Magufuli ni zaidi ya 4G na hakika sisi kama wananchi tunamuunga mkono katika kutatua kero za wananchi kwa kuwaondoa au kuwatumbua watumishi ambao hawaendani na kasi yake. Wengi walikuwa wanasema Rais Magufuli hawezi kuwatumbua watumishi aliowachagua kwa kuwa eti ni marafiki zake. Alianza Eliakimu Maswi ( ingawa alikuja kupewa wadhifa mwingine ) akafata mama Anne Kilango Malecela na sasa ni zamu ya Charles Kitwanga kukaa nje ya uongozi wa awamu hii ya tano.

Tujuzane viongozi watakaofata kutumbuliwa ambao kwa kiasi flani wameshindwa kwenda na kasi ya Rais Magufuli ya kutekeleza ahadi ya " hapa kazi tu "
 
Uko ndotoni? Sukari sh.6000 kg 1 ndo kuwatetea wananchi?

Bidhaa kila siku zinapanda bei ndiyo kuwatetea wananchi?

Sasa hivi watanzania wanajitambua siyo kama kipindi kilichopita.
 
Huyu jamaa ana maneno kiduchu matendo makubwa makubwa na mengi mengi....kwa kipindi kifupi alichoikamata ikulu amefyeka hadi visiki vilivyojiotea bila kupandwa...ni jembe ulaya. Kila nchi saivi inataka kumkodi akawanyooshee mambo...pesa iliyonusurika kwenye Majipu tu peke yake ni bajeti ya nchi kwa mwaka mzima
ATATUVUSHA HUYU....TUMPE MUDA NA TUMPE USHIRIKIANO.
 
Du!! Nafuu umepata hata ya bundle ila huna confidence kabisa, Mzee wa Msoga hajakuombea nafasi kwenye awamu hii?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…